utaritibu wa kuahirisha mwaka lazma uende chuo ulichopangiwa usajiliwe kwanza then ndo watakupa hatua za kufuata ikiwemo kuandika baru ya kuahirisha. hakikisha unafanya hvo coz hela itaendelea kwenda chuo na wajanja wanaweza kuifanyia mambo
Nenda kaulize utaratibu utawala mkuu. ingia ofis ya director of undergraduate anaitwa profesa msoffe hapo atakusaidia kila kitu. n mtu mzur sana kuliko watawala wote udom
we umeambiwa utume kwa njia ya mtandao na haraf ukajpeleka physicaly acha upigwe hela tu.... kiukwel kama umefuata njia zlizoainishwa na tume(tcu) hakna mazingira yoyote ya rushwa, hizo n lawama za bure
kwa hil tu unashkuru mtandaon? najua cku ukifanikiwa kutransfer mkopo wako utalala kanisani ukishkuru coz huu ndo mtihan ulioko mbele yako kama una mkopo. you cant believe now but it will reach a time
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.