Laizer Ole Naibio, tatizo ni kwamba wanaofundisha sasa hivi ni wale wenye uwezo mdogo. Hivyo maoni yako maana yake wafeli zaidi na selikari ikubali hali hiyo.
Hapa Mwanga kilimanjaro, asilimia 99 ya walimu wamegoma isipokuwa wasaliti wachache wa smt ya kifaru ndo wapo kazi. Na pia walimu wanatishwa na afisa elimu kwa niaba ya ded. Hivyo wanahitaji msaada wa kisheria haraka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.