Recent content by Wa kaa

  1. W

    Vitisho mgomo wa walimu vyazidi.

    Laizer Ole Naibio, tatizo ni kwamba wanaofundisha sasa hivi ni wale wenye uwezo mdogo. Hivyo maoni yako maana yake wafeli zaidi na selikari ikubali hali hiyo.
  2. W

    Mgomo wa Walimu Tanzania: Ripoti toka Maeneo mbalimbali ya nchi

    Nadhani hujui kuwa nao ni watumishi wa umma ambao siyo mikokoteni maana kuna sheria, kanuni na taratibu. Mkuu wao kwenda ni sawa na mtu kwenda tour.
  3. W

    Mgomo wa Walimu Tanzania: Ripoti toka Maeneo mbalimbali ya nchi

    Nadhani hawawezi kuwa walimu maana mwalimu huwa hadanganywi.
  4. W

    Chama cha Walimu kimekodi wahuni kufanyia fujo ambao hawatagoma

    Nahisi we hujui hata kusoma maana hujui hata usomi unafananaje maana msomi bila reseach ni sawa na pumbavu flani 2.
  5. W

    Mgomo wa Walimu Tanzania: Ripoti toka Maeneo mbalimbali ya nchi

    Hapa Mwanga kilimanjaro, asilimia 99 ya walimu wamegoma isipokuwa wasaliti wachache wa smt ya kifaru ndo wapo kazi. Na pia walimu wanatishwa na afisa elimu kwa niaba ya ded. Hivyo wanahitaji msaada wa kisheria haraka.
Back
Top Bottom