namba 4 hapana ila yote ulosema yapo sahihi, hata mi najiuliza watafanyaje tathimin juu ya mgombea kujua anamvuto kiasi gani kwa wananchi ukiwa unatembea na lundo la wasanii, huta jua kama wananchi wanakuja kusikiliza sera za mgombea au wamekuja kusikiliza akina chege
Kwani kuna tatizo gani kuleta watu wa maeneo ya mbali ambayo unaamini huwezi kufika ili waje wasikilize sera.Hicho kitu cha kujiamini na wingi wa watu kwenye mikutano kitawagharimu UKAWA.Binafsi nimeshuhudia watu wengi katika mazingira niliyopo wakihudhuria mikutano ya Wagombea wote wa Urais...
Mzee wa Rula
Nani wa kuhurumia.Muda wa kazi wewe unakunywa viroba,baadae unalalamika CCM haijakuletea maendeleo.Hawa ndio mashaabiki wa UKAWA.Poleni UKAWA.
Poleni sana.Hali ilivyo kwa sasa upinzani kushinda ngumu sana.Tuseme mnatumia criteria ya mikusanyiko ya watu katika mikutano mnadhani wote wapiga kura wa UKAWA.Mtashangaa Oktoba
Kwa kweli Upinzani hali yao sio nzuri.Binafsi wamenikatisha tamaa,sioni sababu kwa sasa kuwaunga mkono.Dr Slaa ndiye alikuwa anatukusanya vijana na tunamuelewa.Leo wanamponda.Upinzani bado sana Tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.