Watake wasitake Mugabe ni kichwa haangalii sura ya mtu. Hali ngumu ya maisha Zimbabwe ni baada ya Mugabe kusimamia haki ya kile anachoamini kwamba rasilimali ikiwemo ardhi yenye rutuba imilikiwe pia na wazawa. Kwa ubinafsi wa Wazungu wakamuwekea vikwazo kibao na kupandikiza mamluki ili...
Re: Taarifa ya dkt. Reginald a. Mengi mwenyekiti mtendaji wa ipp limited kwa vyombo vya habari tare.
Dr. Mengi kama binadamu inawezekana ana mapungufu yake tena yawezekana yakawa mengi tu.
Lakini pia anayo mazuri mengi ambayo ameyafanya kwa umma wa Watanzania ambapo na hili analolizungumza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.