Recent content by Vumbi la congo

  1. Vumbi la congo

    Kwa muda mrefu sasa Naota sana kurudishwa kurudi shule, kama leo nimeota nachapwa parade

    Hizo ndoto ni ishara kuna mipango yako umeipanga vibaya...tena ni mipango ya msingi....mm zilinisumbua sana ila nilivyojua siri hiyo nikawa najua jinsi ya kukabiliana nazo....yan nikipanga mambo yangu alafu nikianza kuota hizo ndoto nabadilisha mpango bhas nazenyewe zinakata....
  2. Vumbi la congo

    Mambo tofauti tunayokutana nayo Madereva wa malori toka enzi

    Ipemba mpazi ipo bhana mkuu kuna simba sana hilo eneo..ipo njia ya mbeya sio inyonga.....tabora-ipole-kitunda hiyo njia ndio kuna ipemba mpazi...
  3. Vumbi la congo

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kama hapa unatakiwa iwe full green Mimi nimefungua ila Bado sijaanza kutumia mpaka nisajili halotel
  4. Vumbi la congo

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii kampuni nasikia ukitaka usipate shida ndogo ndogo jaza taarifa zako zote na sehemu Ile ya security ijaze iwe 6/6 alafu usitumie tigo...tumia voda au halotel hapo hausumbui ndio nasikia wazoefu wanasema hivyo
  5. Vumbi la congo

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu napasuka sana kwenye kubet nyie mnafanyaje wazee au ndio bet is not for everyone kila nikimfukuzia kanji nakutana na za uso..kadri navyopata hasira ndio nazadikuumia..em wataalam nipeni mbinu
  6. Vumbi la congo

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kwenye sehemu ya kuweka hela zipo njia za mobile payment
  7. Vumbi la congo

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nimewapigia betwinner wameniambia Kuna shida kwenye mfumo wa malipo huko e wallet. Kwahiyo nisubiri kwa muda wa saa 24 nadhani shida hiyo hiyo ndio ipo na 1xbet... Ameniambia Airtel inasapoti kupitia E wallet ila mitandao mingine inajitegemea aah nikaona miyeyusho tu nimekata simu..Yani mm...
  8. Vumbi la congo

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mnaotumi 1xbet mnawekaje hela kupitia simu nimefanya muamala kupitia Airtel tangu asubuhi mapa muda huu hela haisomi..au nimekosea namna ya kuweka hela..nimedownload app ingine betwinner pia limetokea tayizo hilo hilo.shida ni nini hapo au Airtel ndio shida.. au huo mfumo unasumbua
  9. Vumbi la congo

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hapana kwakweli hawa ndio wanasifiwa kuwa kampuni ya viwango...alafu wanamakato makubwa kuweka hela kupitia Airtel money...nabaki tu spoortybet
  10. Vumbi la congo

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Msaada nimeweka hela 1xbet mpaka saiz haijasoma ..nimeweka kupitia Airtel money
  11. Vumbi la congo

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nashukuru ila naomba mnisaidie na option ambazo ni rahisi..binafsi nacheza sana normal (3way),over na (double chance & over).. Nataka kuifahamu vizuri option ya corner na handicap
  12. Vumbi la congo

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu nimepitia pita hapo comment za wadau naona ngoja niondoke na sportybet ...
  13. Vumbi la congo

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huko nasikia kuweka hela na kutoa ndio shida simjui ni kweli?
  14. Vumbi la congo

    Nahitaji msaada wenu haraka sana, Ni kampuni gani nzuri ya kubeti simba vs Yanga mechi ya leo kwa matokeo ya ataeshinda

    Hii si nasikia hauwezi kuweka hela kwa mifumo yetu ya bongo au wameboresha
Back
Top Bottom