Hizo ndoto ni ishara kuna mipango yako umeipanga vibaya...tena ni mipango ya msingi....mm zilinisumbua sana ila nilivyojua siri hiyo nikawa najua jinsi ya kukabiliana nazo....yan nikipanga mambo yangu alafu nikianza kuota hizo ndoto nabadilisha mpango bhas nazenyewe zinakata....
Hii kampuni nasikia ukitaka usipate shida ndogo ndogo jaza taarifa zako zote na sehemu Ile ya security ijaze iwe 6/6 alafu usitumie tigo...tumia voda au halotel hapo hausumbui ndio nasikia wazoefu wanasema hivyo
Wakuu napasuka sana kwenye kubet nyie mnafanyaje wazee au ndio bet is not for everyone kila nikimfukuzia kanji nakutana na za uso..kadri navyopata hasira ndio nazadikuumia..em wataalam nipeni mbinu
Nimewapigia betwinner wameniambia Kuna shida kwenye mfumo wa malipo huko e wallet. Kwahiyo nisubiri kwa muda wa saa 24 nadhani shida hiyo hiyo ndio ipo na 1xbet... Ameniambia Airtel inasapoti kupitia E wallet ila mitandao mingine inajitegemea aah nikaona miyeyusho tu nimekata simu..Yani mm...
Mnaotumi 1xbet mnawekaje hela kupitia simu nimefanya muamala kupitia Airtel tangu asubuhi mapa muda huu hela haisomi..au nimekosea namna ya kuweka hela..nimedownload app ingine betwinner pia limetokea tayizo hilo hilo.shida ni nini hapo au Airtel ndio shida.. au huo mfumo unasumbua
Nashukuru ila naomba mnisaidie na option ambazo ni rahisi..binafsi nacheza sana normal (3way),over na (double chance & over)..
Nataka kuifahamu vizuri option ya corner na handicap
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.