Habari wana JF
Nimefanya kaz na kampuni moja binafsi katka project inayoitwa TSCP (Tanzania Strategic Cities Project), katika kazi hiyo tulikubaliana na mwajiri wetu kwa mdomo pasipo kuandikishiana popote kuwa tutalipwa mara baada ya kazi kuisha.
Tulimwamini kwa sababu tulishafanya nae kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.