JAMAN WANA JEF, MWENYE TAARIFA NI LINI WATU WATAITWA KUFANYA USAILI UHAMIAJI KWENYE VYEO VYA CONSTEBO NA KOPLO ANIJULISHE, KWA WALE WALIOTUMA MAOMBI MWEZI WA PILI.SHUKRAN!!!!!!!!!!!
:A S-heart-2:
walimu wapya kapigeni mzigo licha ya dau dogo, mkomae na mkumbuke kujiendeleza ,hasa wale wa certificate na diploma kiwango cha kimataifa bado hamjafikia
Bora seminary zibadilishwe mfumo wake ziwe mchanganyiko,coz vijana wa sku hizi nitofauti na wale wa zamani,la sivyo vijana waliojiunga na seminary bila kutegemea kuwa wangejikuta wanaingia ktk hali hiyo watapoteza mwelekeo wa maisha yao.hivvo hata kama kanisa halitaweza kubadili mfumo huo,bas...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.