Recent content by von Meshak

  1. V

    Wanaharakati Waunga Mkono Rasimu ya Katiba Inayopendekezwa

    WANAHARAKATI wa masuala ya jinsia na mtandao wa wanawake na Katiba wamepongeza Rasimu ya Katiba Inayopendekezwa kwa kuingiza madai yao kwa asilimia 90 na kusema kuingia huko kumetokana na wao kuvua itikadi za dini na vyama vyao na kuvaa joho la jinsia na uzalendo. Kadhalika wanaharakati hao...
  2. V

    Wanaharakati waunga mkono rasimu ya katiba inayopendekezwa

    WANAHARAKATI WAUNGA MKONO RASIMU YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA "WANAHARAKATI wa masuala ya jinsia na mtandao wa wanawake na Katiba wamepongeza Rasimu ya Katiba Inayopendekezwa kwa kuingiza madai yao kwa asilimia 90 na kusema kuingia huko kumetokana na wao kuvua itikadi za dini na vyama vyao...
  3. V

    Maswali ya msingi kwa tume ya warioba

    1. Ikiwa Rasimu ya pili iliyoandikwa na TUME YA WARIOBA ndio maoni ya wananchi na iliandikwa kwa ustadi mkubwa na wataalamu wa masuala ya uandishi wa katiba na wenye uzoefu ilipelekwa bungeni kufanya nini? 2. Ikiwa muundo wa Serikali 3 ni mapendekezo ya wananchi japo idadi ya waliotoa...
  4. V

    Mbunge John Shibuda awashukia UKAWA

    shibuda hatishwi wala hayumbishwi na mtu. anasimamia maamuzi yake mwenyewe.
  5. V

    Vijana wazelendo vyuo vikuu wamshukia Mbowe

    Sisi ni vijana wasomi wazalendo kutoka vyuo vikuu mbalimbali vilivyoko Dar es Salaam, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM); Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU); Dar es salaam University College of Education (DUCE); USTAWI WA JAMII; Chuo Kikuu cha Mtakatifu John (St. John); Chuo cha Usimamizi wa...
  6. V

    Umoja wa vijana wazalendo wa vyuo vya elimu ya juu Dar walaani kauli za mwenyekiti CHADEMA

    Sisi ni vijana wasomi wazalendo kutoka vyuo vikuu mbalimbali vilivyoko Dar es Salaam, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM); Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU); Dar es salaam University College of Education (DUCE); USTAWI WA JAMII; Chuo Kikuu cha Mtakatifu John (St. John); Chuo cha Usimamizi wa...
  7. V

    Mbunge John Shibuda awashukia UKAWA

    "Viongozi Ukawa Wanakabiliwa & Ombwe La Mtindio Wa Elimu Uraia &Ukosefu Wa Uzalendo.Wanataka Matone Ya Damu Kama Kafara Kuingia Ikulu.Ni Vema Wajue,Gunia Tupu Halisimami Wima.Naasa Chadema Wawe Sikio Lenye Kupenda Kusikia Wasicho Penda Kusikia.Nimeamua Kujiondoa Mwenyewe,Naomba Waandae Wagombea...
  8. V

    Mbunge John Shibuda awashukia UKAWA

    "Viongozi Ukawa Wanakabiliwa & Ombwe La Mtindio Wa Elimu Uraia &Ukosefu Wa Uzalendo.Wanataka Matone Ya Damu Kama Kafara Kuingia Ikulu.Ni Vema Wajue,Gunia Tupu Halisimami Wima.Naasa Chadema Wawe Sikio Lenye Kupenda Kusikia Wasicho Penda Kusikia. Nimeamua Kujiondoa Mwenyewe,Naomba Waandae...
  9. V

    Viongozi wa dini wakemea upotoshaji unaofanywa na ukawa

    TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA Sisi Wawakilishi wa Jumuiya na Taasisi za Dini, tuliopendekezwa na Taasisi zetu na baadaye kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada...
  10. V

    Mh. Samwel Sitta asibezwe, bali anahitaji kuungwa mkono

    Ulichokisema ni jambo muhimu sana. Watu wanachangia kwa ushabiki. Kimsingi Sitta aungwe mkono.
Back
Top Bottom