Recent content by Volodimiri Zelensiki

  1. V

    Rais Samia kuzungumza na wakuu wa JWTZ huko Tanga

    Hao viongozi ni wa Jeshi la waasi maana hakuna kiongozi wa JW anayeweza kutii amri toka kwa kiongozi Haram aliyeiba uchaguzi na kuua watu na kujitangaza mshindi. Huyu mtamkuta ICC na nyie kundi lake magaidi mtasaidia kutuambia thamani ya mtanzania mbele ya mahamaka ya Kimataifa
  2. V

    Jenista Mhagama alikuwa Waziri wa Afya wakati wa maandamano, kaondoka na siri gani?

    Samuya anatawamaliza mpaka washangae kwa usalama wao tu Bashungwa sepa uhamishoni, CDF sepa muache wambura tunajua hii ni ICC ni Yao. Majaliwa lala mbele,
  3. V

    PostGE2025 ‘Ulipata’ kura zaidi ya milioni 31 lakini leo umejificha

    Tunamsubiri ICC na jela za wa.firaji wakizungu wamuonyeshe alichowafanyia kina Atuhaire
  4. V

    PostGE2025 Majizzo: Naomba sana tusapoti wasanii wetu, ni vijana wa kimaskini

    Nani awasapoti hao mbwa ikiwemo wewe mwenyewe. Hivi nyie mnasapoti Wauaji ccm na huyo Samia wenu hamuoni mateso wanayopitia watanganyika!? Kama hamuwezi kuwatetea wananchi kaeni kimya lakini kuwasifia watesi wa watanganyika hadharani sio tu kwamba hamtasapotiwa kuna uwezekano mkauwawa na watu...
  5. V

    Hali ilivyo Mbagala mapema leo, shughuli zarejea

    Kwakweli nimeghafilika sana sioni kama kuna maisha bora bila kuandamana na kumuondoa Samia.
  6. V

    Figusi tayari: TikTok haipatikani Tanzania hata uweke VPN

    Twende kwenye maandamano bro tuikomboe nchi yetú achana na tiktok
  7. V

    TANZIA Makwaia wa Kuhenga afariki dunia

    Linabaki li Ayubu Ryoba
  8. V

    KERO LATRA: Nauli Tanga to Dar ni elfu 50 badala ya 22

    Hapo bado kesho maana kitawaka usiku huu. Nendeni mkakae na wabunge haramu huko central maana huku mtaani ndio mwisho wao na nyie madiwàni tu nyumbani badala kuhamia central mtaona mziki Wake haramu wakubwa nyie
  9. V

    PostGE2025 Hii video iliyowekwa na Spika mstaafu Dr. Tulia Instagram ina maana gani?

    Bi Tozo aka Jini makata la Kizimkazi lilitaka kuöndoa upinzani lkn likakutana na Lisu lilipoona limeshindwa likaamua kumficha magereza. Poor samía
Back
Top Bottom