Hao viongozi ni wa Jeshi la waasi maana hakuna kiongozi wa JW anayeweza kutii amri toka kwa kiongozi Haram aliyeiba uchaguzi na kuua watu na kujitangaza mshindi.
Huyu mtamkuta ICC na nyie kundi lake magaidi mtasaidia kutuambia thamani ya mtanzania mbele ya mahamaka ya Kimataifa
Samuya anatawamaliza mpaka washangae kwa usalama wao tu Bashungwa sepa uhamishoni, CDF sepa muache wambura tunajua hii ni ICC ni Yao. Majaliwa lala mbele,
Nani awasapoti hao mbwa ikiwemo wewe mwenyewe. Hivi nyie mnasapoti Wauaji ccm na huyo Samia wenu hamuoni mateso wanayopitia watanganyika!? Kama hamuwezi kuwatetea wananchi kaeni kimya lakini kuwasifia watesi wa watanganyika hadharani sio tu kwamba hamtasapotiwa kuna uwezekano mkauwawa na watu...
Hapo bado kesho maana kitawaka usiku huu. Nendeni mkakae na wabunge haramu huko central maana huku mtaani ndio mwisho wao na nyie madiwàni tu nyumbani badala kuhamia central mtaona mziki Wake haramu wakubwa nyie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.