Mimi nafikiri kumfahamisha mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa baba yake ni nani wakati baba huyo hakutaka mtoto bali starehe - ni kumtesa mtoto.Fikiria mtoto anayezaliwa na mama hohehahe wakati baba ni kigogo fisadi.Fisadi huyo hataki kujihusisha na mama wa mtoto kwa vile wako dunia mbili...
Naomba nijuzwe vizuri.... wazazi gani wanaitwa kuonyesha malezi bora ya watoto..kesi ya Mahita kutembea na hausgeil ambaye hakuwa mtoto bali mtu mzima...hapo wazazi na malezi vinahusuje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.