Hii inafikirisha Sana, mtu anatoa sadaka Mali Yake kwa Mali kauli, anakupa huduma, unaiona pesa hutumi na bado unamwita tapeli?
Watanzania tunafail Sana. Tubadilike, maisha kwa Sasa yamehamia mtandaoni. Na ili ufanikiwe inabidi uwe mwaminifu wa Mali ya mtu.
Maneno maneno na kuharibiana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.