Recent content by Vituka

  1. Vituka

    Picha ya Siku: Jasusi la Mbinguni

    Mpaka sasa tatu bila
  2. Vituka

    Men Men Men

    Na hao wake za watu wanaoliwa ni wajinga sana
  3. Vituka

    Kama umeshachepuka au kuzini kufikia tarehe ya leo tangu mwaka uanze jua tu wewe ni mzinzi

    Uzinzi ni dhambi kama zilivyo dhambi nyingine. Wakosefu wote wanahitaji toba. Uzuri kwetu sisi Wa kristo, msamaha WA dhambi upo Kwa Kila mtu, hakuna gharama maana mwamba Jesus alishalipa gharama.
  4. Vituka

    Swali kwa wanawake tu, ni kwanini mkiwa na mahusiano mengine nje/mchepuko, huwa mnawaongelea vibaya waume zenu?

    Hawako matured hao. Mwanamke mkomavu aliyefundwa na mwenye kujitambua, kamwe hawezi sema madhaifu ya mumewe Kwa mchepuko. Atachepuka na Siri zake namumewe hatozitoa.
  5. Vituka

    Men Men Men

    Pesa na upendo ni vitu viwili vinavyoendana na huo ndio ukweli. Suluhisho ni kuhakikisha mwanaume unakuwa na hela kabla ya kuoa. Asante
  6. Vituka

    Men Men Men

    Kabisaaa!! Unaanzaje kuwa wet na mwanaume asiye na pesa jamani? Ifike mahali wanawake tuonewe Huruma jamani hatukuzaliwa kutafuta hela sie!! Tuliambiwa TUTAZAA KWA UCHUNGU jamani wacheni kazi yetu iwe kuzaa, nanyi fanyeni jukumu lenu mlilopewa na Muumba wenu!! Kama wewe umeoa na inataka mkeo...
  7. Vituka

    Mke wangu ameweka kijiti cha uzazi wa mpango bila kunishirikisha tena nkiwa mbali kwa miezi minne

    Kwa nini useme HAWA WANAWAKE instead of HUYU MWANAMKE?? Mwenge shida ni huyu hapa na sio wanawake wote
  8. Vituka

    Nauza Ekari 5 along ring road Dodoma

    Anyway serious buyers watanitafuta.
  9. Vituka

    Nauza Ekari 5 along ring road Dodoma

    Acha makasiriko, kama kweli uko serious njoo PM.
  10. Vituka

    Nauza Ekari 5 along ring road Dodoma

    Aliye serious atanifuata PM. Relax 😁
  11. Vituka

    Watoto wa viongozi wakuu wa nchi walipwe ili kuwatia moyo

    Hata vimada/michepuko yao ilipwe pia. Hii itasaidia sana kuinua uchumi wa mtu mmoja mmoja.
Back
Top Bottom