Recent content by Vitamin Jr

  1. Vitamin Jr

    JamiiForums Tanzania Corona: Mizozo ya mipakani, wa kulaumiwa ni Tanzania

    Yani ninacho oongea kipo nje ya mada unataka kusema..? nimesoma paragraph ya kwanza tu na kusema kwamba naishia hapa katika mjadala huu, naona hutaki kunielewa na una majibu yako unataka nikupe. Jumapili njema kaka.
  2. Vitamin Jr

    JamiiForums Tanzania Corona: Mizozo ya mipakani, wa kulaumiwa ni Tanzania

    Haiwezekani kukawepo na mfano wa nchi inayofanya kama sisi, hii ni kuonesha ni jinsi hani kila nchi inafanya mambo yake Mfano Brazil hawakuweka mazuio kama zingine za Ulaya au Afrika Narudia kuitaja Sweeden mara ya 3 haikuweka watu wake ndani wao waliamua kutumia Herd immunity kupambana na...
  3. Vitamin Jr

    JamiiForums Tanzania Corona: Mizozo ya mipakani, wa kulaumiwa ni Tanzania

    Katika hoja zako ulizotoa mimi nimezielewa kuwa umetoa maoni yako kwa uelewa wako na sio kwamba ndio ilivyo bali ni kwa wewe ulivyoona ndio maana hata wewe hujapinga hoja zangu kwani ndivyo ilivyo na kwa uelewa wangu na uhalisia na niangalia hili kwa uhalisia wa mazingira yangu na kuvaa viatu...
  4. Vitamin Jr

    JamiiForums Tanzania Corona: Mizozo ya mipakani, wa kulaumiwa ni Tanzania

    Nitakusubiri
  5. Vitamin Jr

    JamiiForums Tanzania Corona: Mizozo ya mipakani, wa kulaumiwa ni Tanzania

    Na sababu za sisi kutaka kupima watu wetu tunazo, 1. Hatuna uhakika na vipimo vyao kwani vimeshaonesha kubambikia watu wetu majibu ya uongo ili kutuchafua. 2. Makubaliano ambayo wao waliyaomba ilikua ni kila mtu apime watu wake, kwann sasa wanakataa sasa hivi wakati kwao wao ndio wana...
  6. Vitamin Jr

    JamiiForums Tanzania Universe ni Ndogo: No light years between Planets or Galaxies

    Sayansi imeshindwa kuthibitisha nadharia zake, imebaki kuzielezea nadharia zake kwa nadharia zingine kutumia vifaa wanavobuni wanasansi. Wanaposema unahitaji kusafiri kwa kasi ya mwanga hiyo uliyotaja ndio uvuke katika Universe yetu, je wanafahamu ulimwengu wetu una ukubwa wa kiasi gani...
  7. Vitamin Jr

    JamiiForums Tanzania Corona: Mizozo ya mipakani, wa kulaumiwa ni Tanzania

    Kinacho wasumbua jirani zetu ni mikopo waliyochukua kwa ajili ya mapambano ya Covid 19. Masharti ya mikopo hio ni magumu sana ndio maana wanakuwa wakali kwa Tz kwasababu tu ya wivu na si kitu kingine.
  8. Vitamin Jr

    JamiiForums Tanzania Corona: Mizozo ya mipakani, wa kulaumiwa ni Tanzania

    Kupitia hoja zako. 1. Tanzania inatambua ni janga la kimataifa ndio maana kupitia serikali imetangaza hatua mbali mbali za kukabiliana nalo kama zilivyofanya nchi zingine na kwa njia tofauti katika kuwalinda wananchi wake km baadhi ya nchi zilivyofanya. Lakni pia TANZANIA INATAMBUA NDANI YA...
Back
Top Bottom