duuuuu hiki chuo basi watakuwa matajir sana kwa maana wanakata kila hela. hatujawi kuwekewa hela kama jinsi tulivo sain wanasema et kuna indirect cost inatakiwa ilipwe
Eti wanafunzi wa vyuo naomba kuuliza, huwa mnakatwa shilingi ngapi wakati mnawekewa hela zenu bank kwa wale mlio na mikopo.
Je hela uliyosaini ndio hiyo unayowekewa bank au inakua pungufu, na kama ni pungufu nyingine huenda wapi?
Yaaaa mi ni mwanafunzi was chuo labda haukuelewa ni hivi unakuta umesaini hela sh 510000 lakin bank inawekwa 506300 sasa hii hela nyingine huwa inakatwa na watu gan chuo au bodi
Naomba kuuliza kwa wanafunzi wa vyuo vikuu wenye mkopo na hata wasio na mkopo.
Hapa chuoni kwetu kuna tatizo moja,katika hela tunayopewa kutoka bodi ya mikopo. Kila tukishasaini hela inayoingia bank si ile niliyo saini.Je haya makato yanayokatwa hukatwa na bodi ya mikopo, bank au chuo?
Jamani...
wadau kuna tetesi eti ni lazima kila mwaka ua UPDATE MKOPO kwa wale waliopata
? kama ni ndio how can I do it. mi ni first year and sijui jinsi ya kufanya ivo so kwa anaejua tusaidiane
first year teku wapagawa baada ya account zao kucheka ila kali kuliko yote jumamosi ndo mpango mzima wanawakaribisha wote katika WELCOME NJUKA WA CHUO 02/11/2013
:tinfoil3::amen:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.