Recent content by VISEKI

  1. V

    Wana-CHADEMA mliopo Chalinze

    TAARIFA KWENU MLIOPO CHALINZE: kwanza kabisa nitoe shukrani zangu za dhati nyingi sana kwa wana kalenga najua wengi walitukubari lakini vitisho na ubabe wa ccm umefanya wananchi kuogopa sana adi wale waliokuwa wanaumwa hospital kulazimishwa kutoka na machera zao kwenda kupiga kura kwa kuoneshwa...
  2. V

    Kinachoendelea Kalenga...

    killichofanyika usiku huu: -Mabalozi wa ccm wamepita kuandikisha watu ambao awana shahada lengo kuna shaada zaidi ya 5000 ambazo ni feki zimetengenezwa CHADEMA tuko makini katika uchaguzi huu kuliko mnavyo zania tumejipanga kuwakamata watu awa kila kituo kina mawakala zaidi ya kumi tukibaini...
  3. V

    Ushahidi: Godfrey Mgimwa ni raia wa Uingereza

    Cheki uthibitisho wake tunaanza na hizi hapa wenye mitandao cheki hizi link kwa wananchi tumewaprintia tutawapa kwenye mikutano: Godfrey Mgimwa - Wikipedia, the free encyclopedia Godfrey W Mgimwa - London SW16 - full address - 192.com source: chadema kalenga fb page
  4. V

    CHADEMA kuendelea na sera ya helikopta tatu jimboni Kalenga.

    mwaka huu mtakunya kungekuwa na bahari tungeleta hata majambizi
  5. V

    Yanayojiri kwenye pingamizi la CHADEMA dhidi ya mgombea wa CCM Kenga

    Baada yakuona ali ni mbaya sana kwa mgombea wa CCM jimbo la kalenga wameamua kuleta (photocopy) ya (passport) ya mgombea huyo. CHADEMA inaendelea kufuatilia sakata mpaka sasa wanafanya mawasiliano wizara ya mambo ya nje ya uingeleza wapewe ushaidi wa kimaandishi kuthibitisha uraia wao halali...
  6. V

    "BARAKA" Za Kamati Kuu ya CHADEMA, Je ni sahihi katika kutengua kura za MAONI ya Wanachama????

    subiri tarehe 16 ndio utajua kama ni baraka au vipi
  7. V

    Partimbo, ushindi lazima kwa CHADEMA

    Uzinduzi wa kampeni kata ya Partimbo wafana wananchi walia wasema wanajuta kuichagua CCM. Mh. Grace Kiwelu aunguruma pamoja na makamanda kutoka Arusha wakiongozwa na James Milya. Stay tuned tutatupia picha soon.
  8. V

    Zitto ashinda pingamizi dhidi ya CHADEMA, sasa Baraza Kuu kuamua uanachama wake

    ni upuuzi mtupu kuamini kwamba uyu kashinda kitu ambacho ni state mission
Back
Top Bottom