Nafikiri umewasikia wanaume usiwe unakurupuka hovyo haya kiko wapi hawana ela ya kuwalipa sijui hizo ela mnalipwa na nani lisu aliwambia hakuna ela labda mvunje mikataba iletwe bungeni itungwe upya kiko wapi sasa nafikiri umesikia press yao leo n hata vyombo vikubwa dunian umesikia kunapo saa saba
badala aombe hoja jimboni kwake chemba umeme,maji hasa yafike vijiji vyote anakimbilia kuomba mambo ya madara nyie warangi mpumzishen huyo kilaza mana aliweza kudanganya mambo ya BBC tu yako wazi sembuse hili
unataka maendeleo yap njoo uone lami zinavotandazwa na swala la maji iringa n halipo unataka maendeleo gani gani anateam nzuri ya madiwani ya kusimamia maendeleo ya iringa mjini mwanaume wewe utasutwa muulinze sizonje vipi viwandower vipo kila mkoa mwaka wa pili 2020 sio mbali mkumbuhe ahadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.