Wakati wa mungu ni wakati sahihi wapo aambao hawakusoma na wanakula maisha, wapo wanaokula Bata na walikuwa vizur darasani all in all Mungu ndo anaamua uwe nani
Mm jaman nimeomba lakini nilifanya udanganyifu kozi niliyoisomea walihitaji diploma na mm Nina bachelor ilikuwa ngumu kuombea cheti Cha form six kwakuwa nimehitimu miaka mingi kwahiyo hapa nimejikatia tamaa muda tu hata hayo majina ya interview sidhani kama nitatoboa
Nawasalimu kwa jina la jamhuri. Kama lilivyo tamu kulitamka jina la nchi yangu Tanzania ndivyo ninavyotamani kuona mabadiliko ya kijamii na kichumi kwa ujumla viwe na ladha hiyo ya utamu. Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wasomi wasio na ajira tangu mwaka 2015 hii Kutokana na sera na mabadiliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.