Recent content by Virile Pretty

  1. V

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA haikusimamisha mgombea uenyekiti bunge la katiba?

    ndo mawazo yako yameishia hapo
  2. V

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA haikusimamisha mgombea uenyekiti bunge la katiba?

    hata kama wangeweka mgombea, unazi wa wabunge ziro wa ccm usingeruhusu ashinde. tujitahidi tu kuwabana kwenye kujadili rasimu. M4C mwanzo mwisho hadi kieleweke.
  3. V

    JamiiForums Tanzania Vijana Njooni CCM, ndoto zenu zitatimia

    unamaanisha ndot gan? au watakak na sisi tuwe majambaz na kuwaibia watanzania kama nyie? mkumbuke tu kuwa hakuna marefu yasiyo na ncha. mwisho wenu utakuja tu. hauko mbali.
  4. V

    JamiiForums Tanzania Ondoka Kikwete, Ondoka Kikwete tupumue!

    hawa jamaa na wizi wao nadhani bado wataendelea kuwepo kidgo. mpaka hapo Watz tutakapojitambua na kusimama imara kudai haki zetu bila unafki wala woga, CCM itaendelea kutupeleka shimoni.
  5. V

    JamiiForums Tanzania Hii ya Malaysia Airlines ni maajabu tu

    nadhan walikuwa hawajajipanga vizuri tu. lakin kuna kila dalili ya mchezo mchafu. mambo kama haya katika kipindi hiki cha teknolojia ya hali ya juu kiac iki hata hayaingii akilini.
Back
Top Bottom