Recent content by Vinicious

  1. V

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mpaka sasa hakuna disappointment, matokeo yanaenda kama tulivyohisi labda watokee wengine wale wa saa moja na saa nne
  2. V

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Yea, bolli linatembea kama kawa, Putin hana shida na football. Yeye anadeal na wanasiasa
  3. V

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mwambie kocha mpili aache uongo, Juzi kwenye mechi ya Ma nutd na Brentford alizingua vibaya saanaa, muhindi halogwi kwa uganga utapigwa mpaka uchakae
  4. V

    Simba inaweza kumshangaza Mwarabu

    Simba anamechi ngumu sana me naona 70%,30%. Naona watu wanajifarishi ety simba kwa mkapa ashinde 2:0 halafu akashikilie bomba Morocco?
  5. V

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ila mashabiki wa simba ni wasiri sana yaani mtu anabinua kalio halafu wala hawatuambii😎😎😎. Basi mwenye hiyo picha aiweke hapa haraka iwezekanavyo tuione na sisi
  6. V

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Untd, Madrid na sporing cp all to win tukutane saa sita usiku
  7. V

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mechi za napoli na untd zilikuwa zimekaaa kimtego sana, nashangaa watu wakaingia miguu yote.sometimes tunamlaumu2 mhindi kumbe ni uzembe wetu2
  8. V

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kwahyo mechi ya Tp mazembe imemchanganya muhindi mpaka kushindwa kupangilia odds, image mechi saa kumi lakini mpaka sasa haluna kitu. Au anaogopa kupigwa kitu kizito?
  9. V

    FT: CAF Champions League | Raja Casablanca 3-1 Simba S.C | Stade Muhammed V | 01.04.2023

    Samahani mkuu ivi ukiwa na dstv now unahitaji tena kuwa na mb( bundle) kwenye cm? Au ukiwa na hivyo vitu email na password tayari ushamaliza kazi
Back
Top Bottom