Recent content by Vinicious

  1. V

    PostGE2025 BAKWATA, Watanganyika tunajua mnatumika kupandikiza hoja ya Udini. Jueni tu hamtaweza kututoa kwenye reli

    Kwahiyo Mama yako ndo amekuambia hivyo? Kwahiyo unaua halafu unategemea kumtawala nani? Siku zenu zinahesabika
  2. V

    PostGE2025 BAKWATA, Watanganyika tunajua mnatumika kupandikiza hoja ya Udini. Jueni tu hamtaweza kututoa kwenye reli

    Kwahiyo hii nchi nyie police ndo inawauma? Nenda kajifunze kwanza kusoma na kuandika ndo uje tubishane Kwa hoja
  3. V

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii kitu haihitaji hasiraa , otherwise kanjibhai atakupokea kama ulivyokuja😎😎
  4. V

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kwahiyo hii derby tunafanyaje wadau?
  5. V

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Bomboclaaaaach!! 😎😎😎
  6. V

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huyu Jamaa Leo hana ujanja,itoshe kusema kapakatwaa 😎😎😎
  7. V

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Siku ya kazi Sisi wenyewe hatuna kazi Inabidi kanjibhai atupe kazi Ili tusiishi bila kazi Na tunataka kazi 😎😎😎
  8. V

    Full Time | Simba SC 1 - 0 Gor Mahia FC | Simba Day - Septemba 10, 2025; Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam

    Wanasimba team ipo au tuendelee kukata fito na udongo kwaajili ya kujenga team? Mlioangalia mechi tunaomba majibu
  9. V

    Full Time | Simba SC 1 - 0 Gor Mahia FC | Simba Day - Septemba 10, 2025; Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam

    Yule aliyetoa 100M Na huyu anayesema Samia hoyeeee Hakuna utofauti,Hizi team kumbe ziko kwaajili ya maslahi mapana ya CCM 😞😞😞
  10. V

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kanjibhai siyo mtu mzurii hata kidogo
  11. V

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kumbe issue ni ndogo tu VPN Ila hawa CCM hamna kitu kichwani Hawa Jamaa ni mafaler sana,tuendeleeni kushusha majamvi Wana
  12. V

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Usiku mwema wakubwa 😎😎😎
  13. V

    KERO Kutozwa fedha kwa wanafunzi wanaohitaji kujifunza kwa vitendo katika taasisi za serikali ni sahihi na uungwana?

    Pale sekou toure bila 50k logbook hisainiwi na confidential Wengine nasikia mpaka 100k na unapewa control number ukalipie kabisa Na usipolipa wanakwambia usijee na kazi unapiga kama Kawa, sometimes haohao wanaokuomba pesa wanakwambia ubaki nao Hadi jioni ili umsaidie kazi za hapa na pale
Back
Top Bottom