Utangulizi
Kwenye ukuaji wa taifa lolote lile duniani, linahitaji kuwa na viongozi wenye maono mapana kwa taifa lao. Pia kuwa na sera dhabiti kwa taifa lao ni muhimu, mfano kwenye elimu, afya na nishati.
Elimu
Elimu ndio msingi mkubwa kwa ukuaji wa taifa lolote. Ili taifa liweze kukua kiuchumi...
UTANGULIZI
Sekta ya kilimo inachangia zaidi ya 40% ya pato la taifa. Ili taifa loloteliweze kukua vizuri kiuchumi lazima liwe na mikakati dhabiti na endelevu juu ya kilimo bora na chenye tija kwa taifa na kwa wananchi wake
Kilimo za alizeti...
BIASHARA
Biashara in shughuli yoyote ile inayofanywa kwa lengo la kupata faida
SIFA ZA MFANYABIASHA
1.kufutilia mwenendo mwenendo was bei
2.kuwa na uhakika na huduma kwa wateja ,kutoa bei nzuri kwa wateja
3.kukusanya taarifa za mwenendo wa wateja
4.kupokea haraka mrejesho na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.