kwani ofisi gani ya Mbowe iliwahi kushtakiwa na akatakiwa yeye ndo (lazima) aende mahakamani?
nasema hivyo kwa sababu huku ninakokaa Mkurugenzi wa Halmashauri alishtakiwa mahakamani, hakuwahi kwenda mahakamani yeye 'personally' mpaka kesi inakwisha (alituma wawakilishi tu na yeye kuendelea na...
siadhani kama wataenda, kwa kuwa kesi ni dhidi ya Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Upelelezi na Mkuu wa Polisi ambazo ni ofisi na si watu, basi watatuma wawakilishi wa ofisi zao, kwa sababu hata Makonda akihama nchi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam yupo tu, likewise kwa Siro na Wambura.
Diwani wa Kata ya Mbagala Kuu (CCM) Mh. Yusuf M. Manji anashikiliwa kituo cha polisi kati kwa tuhuma za kuhusika na biashara ya dawa zakulevya, wakati huo huo anatuhumiwa kwa kuajiri wafanyakazi wa kigeni wasio na vitambulisho vya kuishi nchini..
Kumbe ni mheshimiwa kabisaa tena wa chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.