haimsaidii muulizaji itawasaidia wanaotafuta vyeti fekihalafu ikusaidie nini maskini wewe?
Jamii itajua ukweli au mkuu unasemajehalafu ikusaidie nini maskini wewe?
Mkuu umenifanya nicheke aisee. Inashangaza kuona hiyo shule haina hata group la waliosoma mwaka huo jmnKimya hiki ni uthibitisho tosha sio kuwa alipata zero, bali I doubt if he really attended at all, ila nakiri ni jiniasi!.
Paskali
Hapa ndio tunapolimisi jembe letu Ben Saanane
daudiii matusi ya nn swali rahisi tu hilo mwambie mwandishi aje ofisini umwenyeshe cheti chako, ila uawahi mahakamani kula kiapo cha kubadili jina kwanza
PROF NDARICHAKO nenda ilala boma pale mkamhakiki DAUD
wordHii ni ya Madereva kuwa na vyeti fake bado ni tuhuma, wanamtuhumu tu hakuna alieye thibitisha. Ila ndio ajifunze sio vizuri kumtuhumu mtu tena kumtaja hadharani bili kudhibitisha.
Bar kuna kamtindo sikapendi sana mtu anapoamua kuzungurusha round! Kale kamtindo ka yure mupe yure muruke
inaezekana ila naye ana akili kupata matokeo mazuri ni dalili tosha....Abadili jina wakati mwenye majina yake yupo na yuko hai hiyo ndio shida mwaka mmoja jina moja cku moja mfanye mtihani mmoja co kweli lazima hata jina la 3 litofautiane ulinzi kwa mwenye cheti chake uimalishee wasije wakamuukimboka bure
Sasa kacheti ka form four kana propadanda gani?? Siunaonesha tu mambo yanaisha.
Swala LA elimu kama kiongozi lazima umepiga shule vyeti sio issue.
Tatizo viongozi wetu elimu zao janja janja nyingi. Ndy maana hata zoezi LA uhakika wa vyeti halieleweki limelenga kitu maana mkaguzi nae anatakiwa akaguliwe.
Wananchi wamesoma kuliko waongoza nchi hii ndy Tanzania
halafu ikusaidie nini maskini wewe?
william MalechellaManji hausiki hapa. Huyo Daudi asiwe Mkali anapoulizwa kuhusu vyeti.kwanini anatukana waandishi wa habari? Kama anavyo si amwambie mwandishi huo ni uwongo vyeti ninavyo njoo uvipige picha uwatangazie wananchi si basi linakua limekwisha?
Ndiyo unaamini hivo? Kwamba kuhoji ukweli wa trend ya Makonda kitaaluma ni kupingana Serikali?Jambo leo, mnamuharibia Manji
sio makonda, mnapigana na serikali
Ndivyo unavyojidanganya? Watanzania wangapi wamehakikiwa na kupewa majina ya dharau? Mbona mwigulu na kigwangalla waliambiwa hayo maneno kabla ya hizo dawa? Sababu mtoto wa pekee kaguswa inaonekana ni madawaHili gazeti limejipa kazi ya kusafisaha wauza madawa ya kulevya
Vita dhidi ya Manji kaanxisha Makonda sasa vyombo vya habari vikae kimya?Vita dhidi ya mihadarati,Manji Atatumia gazeti lake kufanya propaganda