Jamani naomba msaada wa kujua online traderrs kama Alibaba, Kikuu na zinginezo, je kuna mtu ameshawahi fanya kununua bidhaa yoyote na je ni kweli zinafanya kazi kwa uaminifu maana kuna kitu nimekipenda natamani ninunue lakin naogopa.
Msaada wa uthibitisho ndugu wana JF.
Sent using Jamii Forums...
Ziara ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa Dk Bashiru Ally ambayo ni Maelekezo ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa akiendelea na ziara Wilayani Nzega katika Mkoa Tabora Tanzania.
Dk. Bashiru amekagua miradi mbalimbali ya serikali kama Barabara na Madaraja, majengo ya Shule na maendeleo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.