Watanzania kuna huu utaratibu wa kutoa zawadi kwa watu binafsi sijui unalipeleka Taifa letu sehemu gani.
Tumeshuhudia hivi karibuni majenerali wastaafu wakizawadiwa magari, Mama Kanumba kapewa gari na Rais, na wengine kama vile wanamuziki wa zamani wanapewa hela.
Je, kila brigedia generali...
ONLY IN TANZANIA , nakumbuka Truth and reconcillation ya South Africa iliyoongozwa na Desmond TUTU ilikuwa Live on Television . MNATAKA KUFICHA NINI. Kwanza wajumbe wengine wamehusika na mauaji
Watanzania mkae mkijua Rais Samia anapitia kipindi kigumu sana cha uongozi. Kitendo cha kuwarudisha Dkt. Phillip Mpango na Majaliwa Ikulu kwenye nafasi ya uongozi ni kitendo cha aibu sana.
Hawa wawili ni viongozi wa juu sana kitaifa ambao wanastahili kupumzika nyumbani na kula pensheni pensheno
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.