Recent content by viking

  1. V

    Utamaduni wa zawadi unatupeleka wapi

    Watanzania kuna huu utaratibu wa kutoa zawadi kwa watu binafsi sijui unalipeleka Taifa letu sehemu gani. Tumeshuhudia hivi karibuni majenerali wastaafu wakizawadiwa magari, Mama Kanumba kapewa gari na Rais, na wengine kama vile wanamuziki wa zamani wanapewa hela. Je, kila brigedia generali...
  2. V

    PostGE2025 Tume ya Uchunguzi matukio 2025 yazuia waandishi wa habari kurusha na kurekodi shuhuda za wahanga

    ONLY IN TANZANIA , nakumbuka Truth and reconcillation ya South Africa iliyoongozwa na Desmond TUTU ilikuwa Live on Television . MNATAKA KUFICHA NINI. Kwanza wajumbe wengine wamehusika na mauaji
  3. V

    Samia una wakati mgumu wa uongozi

    Watanzania mkae mkijua Rais Samia anapitia kipindi kigumu sana cha uongozi. Kitendo cha kuwarudisha Dkt. Phillip Mpango na Majaliwa Ikulu kwenye nafasi ya uongozi ni kitendo cha aibu sana. Hawa wawili ni viongozi wa juu sana kitaifa ambao wanastahili kupumzika nyumbani na kula pensheni pensheno
  4. V

    TEC ivunjwe imekiuka miiko ya Kikatoliki kwa kushindwa kueneza upendo kwa wote

    BAKWATA NI CHOMBO KISICHO SIMAMIA MASLAHI YA WAISLAMU WOTE
  5. V

    Rais Samia ameuthibitishia Ulimwengu kuwa Wanawake wanaweza. Hongera sana Rais Samia

    NI KWELI KABISA ANA Ni kweli kabisa ameweza baada ya Sheikh Hasina wa Bangladesh amefuata yeye
  6. V

    Sijajua vigezo vilivyotumika kumteua Mwigulu kuwa Waziri Mkuu, hafai

    DAMU ZA WATANZANIA ZILIZOMWAGIKA OCTOBER 29
  7. V

    PostGE2025 Nguvu inayotumiwa na TBC kubembeleza amani ingetumika wakati kina mdude wanatekwa tusingefika hapa tulipofika

    Hicho kituo kingetembelewa na kusalimiwa mara ya kwanza sasa hivi tusingekuwan na kelele
  8. V

    PostGE2025 Masheikh mko wapi? Kuna tamko la nchi za Ulaya, inatakiwa mkawajibu

    Hawana pa kuanzia , Hiyo issue ni sawa na hesabu za ALGEBRA kwao.
  9. V

    PostGE2025 Mhariri Mkuu Clouds, Joyce Shebe: Mazingira ya Oktoba 29 hayakuwa rafiki kwa wanahabari

    Waandishi wetu makanjanja kama kawaida yao , vipi wale wenzenu wa GAZA
Back
Top Bottom