Simple design
(Ramani)
3 bedrooms
Kitchen
Store
Dining
Living room
toilet
Tofali 3300
Kiwanja kuanzia mita 18 kwa 20
Get the plan
+255678418272
Whatsapp
Ni sehem ndogo mno ambayo umeshindwa kuitafakari na kupata jibu... Hapo Quran inamuelezea Dhulqarnain ambaye ni mwanadam km mm na ww,na Quran imeelezea jinsi vile Dhulqarnain alivyoona yani ni km imeelezea kile kilichomo ndani ya kichwa cha Dhulqarnain, ni kwamba,yy kwa macho ya kawaida ameona...
Habari za muda huu wana jukwaa!!
Nimeangalia website ya chuo cha usafirishaji naona haijaruhusu maombi ya kujiunga na chuo mwak 2018/2019
Ni kweli hawajaruhusu maombi ya kujiunga na chuo kwa upande wa diploma au mm nachanganya madesa..hebu nijuzeni bandugu mana naona muda umepita.
Asanteni.
Artisan kwa kwa kiswahili ni fundi mchundo..na technician kwa kiswahili ni fundi sanifu(diploma)..artisan ni mtu mwenye elimu ya ufundi kutoka VETA au vyo vyovyote vinavyotambulika na serikali zenye kiwango cha elimu sawa na inayotolewa VETA.
Habari yenu wana jukwaa, hivi juzi nilikuwa nahisi maumivu ktk kifua upande wa kushoto lakini si maumivu makali yaani nahisi kero tu na inatokea mara chache tu japo sasaivi nahisi inaweza kutokea mara 3 kwa wiki..
Nilipoenda hospital dr.akaniandikia dawa amoxiclav628 na meloxicam, akasema baada...
Mm nna akaunt jf na mke wang ana akaunt..mm nlikuwa tanga kwa muda nikamtumia mzigo mke wang dar ambaye yy pia anatangaza humu jf na huwa tunaweka namba ya mke wang na ya kwangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.