Hata mm naitaji kuelewa hayo..
Lkn ikiwa kazi ya polisi ni kutulinda na doria tunaona na mshahara wanapewa
Hawa sungusungu wakianzishwa kulinda ina maana polisi hawawezi au kuna nini kiundani tusicho kijua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.