Recent content by vifaa mazoezi

  1. V

    Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

    Utazunguka kote mchawi sex tu .wanawake wengi wenye visilani na kununa nuna wakipewe sex ipasavyo wanatulia....
  2. V

    KERO Soko la Karume limejaa madalali ambao wamekuwa kero kwa wanunuzi

    Yaani wale pita kama umeweka pamba masikioni ...wakikusemesha we busy kuangalia kile unachotafuta..wanakata tamaa wenyewe....usiwe entertain wala kuwajibu jibu..wala usiwaangalie usoni..maana hao madalali kazi yao ni kupandisha vitu bei kitu cha elfu 10 utauziwa 30
  3. V

    Ni kwanini wanawake wanapenda wanaume wenye wanawake wengine

    Wanawake wengi wanaotembea na waume za watu wengi wanapenda uhuru..wanajua usiku utakuwa kwa mkeo na yeye atatoka Kwenda viwanja au kwa wanaume wengine..wewe unabakia sponsor
  4. V

    Naanza kuelewa kwanini Mch. Eliona Kimaro alifungiwa kutoa huduma

    Yule jamaa next level aisee..yaani umsikia unasema kaiva hasa hasa..mahubiri yake yatadumu daima...
  5. V

    Napendekeza tuanzishe JF Jogging Club ya mtandaoni

    Wazo Zuri na litaleta hamasa., km 1 ni ndogo at least 5 either mtu akimbie au atembee..watu wengi humu wanapenda privacy ni bora mtu akatuma details kutoka kwenye saa au app na sio ramani.. Kwa mahitaji ya vifaa vyote vya mazoezi kuanzia vipochi vya kubeba simu, nguo za kukimbilia, saa, etc na...
  6. V

    Serikali na Jamii, Kinachoendelea TikTok hakina afya kwa vijana wadogo

    Mtandao ule ni tishio kwa ustawi wa jamii..umejaa matusi na kuhamasisha ngono sana.. vijana wadogo wanaharibika sana...kuna Siku nilimkuta binti mmoja mdogo nina mfahamu kwa jinsi alivyoharibika na historia yake nyuma unaweza toa machozi kama mzazi au ndugu
  7. V

    Hii nchi kila kona fremu

    Biashara zimefunguka, zamani watu wachache ndio walikuwa wanaenda china , dubai , uturuki etc...saiv kila mtu anaenda na kuagiza...
  8. V

    Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

    Ila kenyatta kiboko toka awe Raisi jamaa saa zake zinacheza 100 to 200 mill..
  9. V

    Prof. Janabi: Nakula mara mbili kwa siku

    Kanuni ya kiafya kula mara mbili ni nzuri yaani asubuhi na jioni tu..hata kuna wakati Mungu alimlisha Elia milo miwili tu 1 wafalme 17 :6 Kunguru wakawa wanamletea mkate na nyama, asubuhi na jioni; akapata na maji ya kunywa katika kijito hicho.
  10. V

    Stanley Mug cup na maajabu yake

    Ni siku chache tu zimepita toka Stanley mug ilipotingisha America na Ulaya kwa maelfu ya watu kununua chupa hiyo kutokana video iliyotrend mtandaoni ya gari kupata ajali ya moto na hiyo stanley mug ilivyokuwa kwenye gari haikuweza kuungua na wala icing zilizokuwa kwenye hiyo chupa hazikuyeyuka...
  11. V

    INAUZWA Jipatie mashine Hii ndogo ya kupima pressure

    Ni muhimu kuwa na machine hii ya kupima pressure kwako na kwa familia yako..unaweza ukawachukulia hata wazazi wako itawasaidia sana. Sifa zake: inakupa vipimo vya uhakika, Rahisi kutumia na ivo very simple unaweza ukatumia betri ndogo au USB cable. Bei ni 50,000 tu Call au whatsApp 0746799777
Back
Top Bottom