Recent content by Victory5G

  1. V

    JamiiForums Tanzania Huwa mnadili vipi na ndugu wa aina hii?

    Mwambie ni vema akafanya shughuri ya kumwingizia kipato, kwani Kuna siku utakuwa Hauna pesa ya kumsaidia,kwani siku hazifanani.Atafute mtaji nusu na we mwongezee nusu na uhakikishe anaanza kama ni biashara.Kisha mnaachana hapo ili asipate sababu ya kukulaumu! Ahsante.
  2. V

    JamiiForums Tanzania Utaratibu wa kubadili majina ya mtoto shuleni ukoje??

    Darasa la 3 wanabadili, nenda shuleni kwao watakupa maelekezo kabla hawajamsajili necta kwa mitihani ya Drs 4. Wakimsanili tu haubadilishi Tena.
  3. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huu ujasiri kwenye mahusiano tunao wachache hapa Tanzania

    Funguka mkuu, mbona chenga nyingi?
  4. V

    JamiiForums Tanzania 𝐅𝐀𝐋𝐒𝐀𝐅𝐀: Mgawanyo wa makundi ya watu kiutawala. Wewe upo kundi lip?

    Mimi nipo kule kwa waliopo
Back
Top Bottom