Nimeweka namba wanipigie kwa kuwahoji kwani huwezi mwambia tiba wakati Ana PID mwingine Ana Hormonal inbalance anipigie unamuhoji unajua jinsi ya umpe Toba gani
Sent using Jamii Forums mobile app
KILA MWANAMKE AJICHUNGUZE MAENEO YAKE YA UZAZI.
[emoji654]Kila mwanamke anapaswa ajichunguze Kila siku maeneo yake ya uzazi.
Vile vile kuchunguza nguo zako za ndani unapokuwa unaivua siku hiyo Kama Kuna uchafu wowote.
[emoji654]kufanya hivyo kunaweza kumsaidia kugundua kusa anatatizo...
[emoji3479]PELVIC INFLAMMATORY DISEASE (PID)
Ni ugonjwa unao shambulia mfumo wa uzazi kwa mwanamke nimojawapo ya ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya kujamiiana.
[emoji3479]HUATHIRI SEHEMU ZIPI
[emoji654]Mfumo wa uzazi.
[emoji654] Ovary.
[emoji654]Mirija ya falopian pamoja na sehemu nyingine za...
KILA MWANAMKE AJICHUNGUZE MAENEO YAKE YA UZAZI.
[emoji654]Kila mwanamke anapaswa ajichunguze Kila siku maeneo yake ya uzazi.
Vile vile kuchunguza nguo zako za ndani unapokuwa unaivua siku hiyo Kama Kuna uchafu wowote.
[emoji654]kufanya hivyo kunaweza kumsaidia kugundua kusa anatatizo...
[emoji98]HORMONE INBALANCE
[emoji97]Nimvurugiko wa(hormonal inbalance)ni hali ambayo inatokea kwenye mfumo unaohusika urekebishaji was hormon Kuvurugika/kutokuwa sawa.
[emoji98]CHANZO CHA HORMONAL INBALANCE
[emoji97] ujauzito/mimba.
[emoji97]ukomo wa hedhi kwa umri wa miaka 45...
Fangasi huanza nje then ukiiacha kupelekea na kuingia ndani huku ukiendelea kushiriki huitibu inazidi kukomaa na kwenda kuleta MADHARA makubwa nimeeleza hapo juu Sasa sio Kila aumwae PID hafai hapana niugonjwa wa kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana kwa Sasa hali ilivyo PID ni ugonjwa rahisi kupatikana kuliko Magonjwa yote kwani fangasi ninyingi na fangasi ukiichelewesha kupelekea PID Wala sio was kumtilia mashaka
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3479]PELVIC INFLAMMATORY DISEASE (PID)
Ni ugonjwa unao shambulia mfumo wa uzazi kwa mwanamke nimojawapo ya ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya kujamiiana.
[emoji3479]HUATHIRI SEHEMU ZIPI
[emoji654]Mfumo wa uzazi.
[emoji654] Ovary.
[emoji654]Mirija ya falopian pamoja na sehemu nyingine za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.