moja ya hoja dhaifu kuwai tokea JF ni hii ya huyu jamaa .. yeye analeta siasa kwenye uhalisia , sasa ulitaka Maulidi akae kimya? amefichua alichokiona kwa manufaa makubwa ya Hifadhi
Na Victor Yohana
(uvccmichenjezya@gmail.com)
Mapema mwaka huu tulitangaziwa kuwa Dunia imeingiwa na ugonjwa wa CORONA. Tanzania ilikuwa nchi moja wapo ambayo ilishukiwa kuwa kuna watu wana dalili za virusi vya CORONA alimaarufu COVID -19.
Wakati Dunia ikiendelea kutafuta tiba, Tanzania ilikuwa...
Ndio tatizo ya kuwa na VIJANA ambao walikimbia shule ... Sasa mdude kaongea pointi gani hapo?... Endeleeni kushabikia ujinga parapanda itawaita nyie kwanza
Sheria na kanuni zipo wazi ndugu .. Raisi kaongea vizuri sana kuwa kuanzia mwaka 2006 ambapo sheria ilianza kutumia rasmi kama ulijenga nyumba ktk hifadhi ya Barbara basi bomoa na kama ni nyuma ya hapo utaratibu mwingine utafuata .. Anacho kifanya mh. Raisi ni kufuuta sheria kipindi cha nyuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.