Rais Magufuli ameweka jiwe la Msingi katika mradi wa ujenzi wa Barabara ya Mpemba-Isongole

Victor Yohana

Member
Apr 30, 2013
31
31
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli mapema leo ameweka jiwe la Msingi katika mradi wa ujenzi wa Barabara ya Mpemba-Isongole na kuweka jiwe la Msingi katika ujenzi wa hospitali ya Mji wa Tunduma ikiwa ni siku ya Pili ya ziara yake Mkoa wa Songwe

Barabara ya Mpemba-Isongole inajengwa Kwa kiwango cha lami Kwa fedha za Serikali bilioni 109 ambapo inatarajiwa kukamilika Septemba 2020 na itaunganisha Mkoa wa Songwe na nchi ya Malawi.

Aidha katika Mradi wa ujenzi wa hospitali ya Mji wa Tunduma yenye hadhi ya Wilaya serikali imekwishatoa bilioni 2.5 huku Mkuu Wa Mkoa Wa Songwe Brig Jen Nicodemus Mwangela amemuomba Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli kiasi cha shilingi bilioni 2.4 ili kukamilisha awamu ya kwanza ya ujenzi Wa hospitali hiyo
 

Attachments

  • IMG-20191005-WA0018.jpg
    IMG-20191005-WA0018.jpg
    42.4 KB · Views: 26
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli mapema leo ameweka jiwe la Msingi katika mradi wa ujenzi wa Barabara ya Mpemba-Isongole na kuweka jiwe la Msingi katika ujenzi wa hospitali ya Mji wa Tunduma ikiwa ni siku ya Pili ya ziara yake Mkoa wa Songwe

Barabara ya Mpemba-Isongole inajengwa Kwa kiwango cha lami Kwa fedha za Serikali bilioni 109 ambapo inatarajiwa kukamilika Septemba 2020 na itaunganisha Mkoa wa Songwe na nchi ya Malawi.

Aidha katika Mradi wa ujenzi wa hospitali ya Mji wa Tunduma yenye hadhi ya Wilaya serikali imekwishatoa bilioni 2.5 huku Mkuu Wa Mkoa Wa Songwe Brig Jen Nicodemus Mwangela amemuomba Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli kiasi cha shilingi bilioni 2.4 ili kukamilisha awamu ya kwanza ya ujenzi Wa hospitali hiyo
Maendeleo hayo CCM imeyachelewesha sana wakati kodi tunalipa
 
Mbona hujasema katoa maamuzi ya hovyo ya kusema nyumba zote zivunjwe zilizo mita 50 kutoka kwenye jiwe la mpaka? Kumbuka serikali yenyewe iliwauzia hivyo viwanja na wana hati miliki kibaya zaidi mwaka 2016 serikali ilitenga eneo la viwanda watu wakanunua viwanja na wakajenga viwanda vya kuchakata mazao lakin leo hii serikali hiyo hiyo inasema bomoeni ni eneo la mpaka, shame shithole country.
 
Praise team ina sheria na kanuni zake (selective).
Mbona hujasema katoa maamuzi ya hovyo ya kusema nyumba zote zivunjwe zilizo mita 50 kutoka kwenye jiwe la mpaka? Kumbuka serikali yenyewe iliwauzia hivyo viwanja na wana hati miliki kibaya zaidi mwaka 2016 serikali ilitenga eneo la viwanda watu wakanunua viwanja na wakajenga viwanda vya kuchakata mazao lakin leo hii serikali hiyo hiyo inasema bomoeni ni eneo la mpaka, shame shithole country.
 
Mbona hujasema katoa maamuzi ya hovyo ya kusema nyumba zote zivunjwe zilizo mita 50 kutoka kwenye jiwe la mpaka? Kumbuka serikali yenyewe iliwauzia hivyo viwanja na wana hati miliki kibaya zaidi mwaka 2016 serikali ilitenga eneo la viwanda watu wakanunua viwanja na wakajenga viwanda vya kuchakata mazao lakin leo hii serikali hiyo hiyo inasema bomoeni ni eneo la mpaka, shame shithole country.
Sheria na kanuni zipo wazi ndugu .. Raisi kaongea vizuri sana kuwa kuanzia mwaka 2006 ambapo sheria ilianza kutumia rasmi kama ulijenga nyumba ktk hifadhi ya Barbara basi bomoa na kama ni nyuma ya hapo utaratibu mwingine utafuata .. Anacho kifanya mh. Raisi ni kufuuta sheria kipindi cha nyuma watu walipiga deal sana na hawakuzingatia sheria lengo lilikuwa ni kujinufaisha wao wenyewe
 
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Yupo Kwenye Majukumu Yake Ya Kila Siku
 
Back
Top Bottom