Recent content by victor j

  1. victor j

    Mke wangu ananiumiza kichwa

    Pole ndugu, ila nliwahi shauriwa kuwa kama huna kifua kaa mbali na simu ya mwenza wako, mi nakuomba fanya yafuatayo, toka naye out siku moja jua wewe na yeye, ikiwezekana hata chukua weekend moja hotelini, wakati mnainjoi embu jaribu kupeleleza kama kuna kitu ana miss kwako, nini anatamani...
  2. victor j

    Kupendwa na mgeni wa rafiki yako

    My dear before hujaenda mbali just know what you are looking for, is it him, ndio mume uliyekuwa unamtarajia au ni fedha na mafanikio yake yanakuvuta kwake? Second nini kilimchukiza kuhusu huyo mpenzi wa nyuma mpaka akamuacha? Je alimwambie apunguze pombe au alimwambia aache pombe? Kama huyo...
  3. victor j

    Mc/motivational and inspirational speaker/youth trainer

    Bahati mbaya nliupgrade kompyuta from window 8 to ten nkafanya backup ya data halafu kumbe window 10 ina option ya kubakiza kila kitu , nkakosea nkafuta ile backup pasipo kukumbuka kuwa nlishavifuta... Hata hiyo flyer na logo ni mtu ambaye nlimtumia ndo kanirudishia Ila u can see some few...
  4. victor j

    Nahitaji business Cards

    Contact me 0672060757
  5. victor j

    Mc/motivational and inspirational speaker/youth trainer

    Nafanya huduma ya ushereheshaji na uandaaji wa events, pia ni mnenaji mhamasishaji wa vijana kuwasaidia vijana kujitambua na kutambua ndoto zao na namna ya kuweka malengo na kuyafikia. 0672060757, 0766246982
Back
Top Bottom