Sio ww tu uliyekosa hata rfk yng amekosa na alichagua 2nd round udom, lkn udom selection bado haijaisha kuna 2nd batch hadi 4th batch xo msihofu vuten subira tu:(:)
Jiamin tu, mbona kawaida tu, hlf unaweza ukawa na mwil mkubwa hlf kitandan ukawa zero, me binafs n mwembamba ila mziki wng anaujua Shem wk, confidence ndo ki2 cha mcng kuliko vyote
N mwez sasa tangu heslb ianze kutoa ahadi fake kwa serikal ya wanafunz kwamba majina ya field yapo tyr na yametumwa chuo haitosh tumeondoka bila kusain huku tukipewa maneno ya faraja kwamba pesa itaingia bila cc kusain. Daaa napata text kutoka wazir mkuu( udoso) kwa kuwa board imetoa ahadi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.