Niko Brasil jamaa,wanajua Zanzibar ila tz hawajui, ukiwaambia nafahamu kisw watakuuliza ndo lugha gani,ukiwajibu hakuna matata mnajua utasikiaa oh yaaaa[emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Afuate hamu ya moyo wake,kuna maana gani kufuata matakwa ya wazazi lkn unabaki na masononeko moyoni, kula raha yake kufanya kile kitu mtu anapenda hata akipata magumu ktk kitu hiko ni rahisi kuvumilia coz mtu alipenda kweli ila asipofata hamu ya moyo wake na mambo yakaenda vibaya atakua mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.