Wote wanashiriki mashindano, kwenye ligi lazima wenyewe kwa wenyewe watakutana, na pia atakayecheza na Simba lazima pia Yanga itacheza nao atakayepiga hesabu zake ipasavyo ndiye atakaye faidika na mbio za marathon.
Klabu bingwa wote wamefuzu kwenda hatua inayofuata, kwasasa ilipofikia timu ya...
Caf ranking sio fact ya kuipima current form ya timu, kwasababu inachukua data za misimu ya nyuma. Hii Gaborone ilicheza na Simba msimu uliopita je unakumbuka ni nini kilitokea? Simba unajua wakati wanacheza na Gaborone walikuwa wa 6 kwenye ranking? Yanga kuna timu ilicheza nayo ikaibamiza goli...
Kocha wa Simba kakaa muda gani kuifundisha timu yake vs kocha mpya wa Yanga? Unasema Yanga kaifunga Simba basi tu je kwa kutumia kielezo kipi ikiwa Simba walipata short on target moja tu tena dakika za mwishoni mwa mchezo? Vipi kuhusu possession? Embu nipe kigezo cha kusema hiyo kauli yako...
Ukifatilia mpira utaelewa, anza kidogo kidogo tu. Ulichoongea hakina tofauti na kuiambia Simba au Yanga akajifunze kwa Singida black stars kwavile tu kaifunga timu ya Al-Ghazal goli 7 wakiwa kwao.
Mpira pesa, mpira ni uwekezaji. Gaborone wanajitahidi kuchagua makocha walio na mbinu, kocha wao awali alifanya kazi kubwa sana dhidi ya Simba mpaka Simba wakamchukua, na wakafanya replacement ya kocha mwingine ambaye ameisumbua Yanga pia
Mashabiki wengine wa Yanga akili zao zimejawa na mahaba na mchezaji hivyo hata akiwa anakosea hawaoni. Aziz Ki kipindi cha pili kila mpira akipata anataka kupiga Zizou style na chenga nyingi, jamaa wanapokonya mpira wanaanzisha counter attack, shida sio kocha shida ni kwamba bado Yanga haina...
Sub za kocha, na mbinu za kocha zilikuwa sahihi shida ni kwamba Yanga haina kiungo mkabaji asilia mwenye ubora. La pili mabeki wa Yanga wamekuwa wenye makosa binafsi sana. Magoli yote waliyoruhusu Yanga kwenye michezo yote walioyocheza ni makosa binafsi ya mabeki
Dah! Mabeki wa Yanga wana makosa binafsi yanayo igharimu Timu. Goli 2 zote za Gaborone walizo funga nyumbani na ugenini zote ni makosa binafsi, hata magoli waliyofungwa kwenye ligi kuu ni hivyo hivyo ni makosa binafsi ya mabeki
Jamaa ni mpumbavu na mjinga haswa, yaani mchezo wa mpira wa miguu ameuwekea chuki na uadui dhidi ya mpinzani kiasi cha kumrushia ngumi mtu ambaye hajakuchokoz
Hivi mnafanya huu uchambuzi, kwa kutumia vipimo gani? Timu zimecheza mechi moja pekee klabu bingwa na timu zingine hazicheza bado hata mechi moja. Ni mapema kufanya tathmini kwasababu kwenye mpira wa miguu timu hupanda na hushuka ubora hata kama timu ina jina kubwa. Hivyo mbeleni ndio tutapata...
Kweli kubwa jinga haswa, timu imepata goli ugenini halafu yeye analeta stori za kupindua meza. Wakati presha haipo tena kwao kwasababu hata sare ya 0-0 ni matokeo ya kuwapeleka mbele
Timu imegoma kabisa kumpa heshima Simba, ikaamua kwenda nao bampa to bampa na kweli aisee wameonesha wanaimudu Simba ila tu kule mbele hawana watu wa kumaliza mechi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.