Recent content by vibertz

  1. vibertz

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Tetesi za usajili Ligi Kuu msimu wa 2026/27

    Hapa mchawi ni kibunda
  2. vibertz

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Tetesi za usajili Ligi Kuu msimu wa 2026/27

    Itakuwa unachanganya na mpira wa yule kocha ambae watu wakamtungia A.K.A ya gusa achia twende kwao (Ramovic) mpira wa Miloud ulikuwa ni mpira uliojawa mbinu na ufundi ili kupata matokeo. Yanga ilikuwa direct sana kwenye kushambulia na aliunda ukuta mgumu sana, jamaa alikuwa anajua sanaa ya...
  3. vibertz

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Tetesi za usajili Ligi Kuu msimu wa 2026/27

    Hersi kaishiwa maarifa saivi anachukua tu makapi, mara Azizi Ki mara Fadlu. Anafanya sajili za kubahatisha tu kwasasa. Ile zimwi ya ujuaji na ujeuri na ujivuni wa kujiona Perez wa bongo na kumuacha Miloud kizembe bila kumpa mkataba mpya itaendelea kumtafuna katika scouting zake. Ameanza...
  4. vibertz

    JamiiForums Tanzania Maskini Pacome. Kweli kuimba kupokezana. "Kama Simba hawataki Kuguswa wakacheze karata" Pacome leo kaguswa

    Hivi wale wanaounga mifupa kienyeji kwanini wanachukuliwa poa poa sana wakati naona kama wana tiba ya uhakika na huchukua muda mfupi kupona. Kuna ndugu yangu aliangukiwa na ngema ya mchanga wakati anachimba mchanga uliopo juu, mguu mmoja ulikatika sehemu mbili lakini leo huyo anaendelea na...
  5. vibertz

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Tetesi za usajili Ligi Kuu msimu wa 2026/27

    Kocha Fadlu Davids kwenda Yanga, aisee mbona kama Yanga ya Hersi inaelekea kubaya zaidi katika kufanya scouting.
  6. vibertz

    JamiiForums Tanzania FT: NBC Premier League | Yanga SC 3-0 Azam FC | Amani Complex | 24/6/2026 | Yanga wanaukalibia ubingwa

    Yanga imeonesha ina ufinyu wa wachezaji wenye ubora ukiachana na wanaonza kikosi cha kwanza basi benchi hakuna wachezaji wa maana wa kuweza kubadilisha mchezo. Azam wamefanya sub nyingi na kuielemea Yanga iliyokata moto kipindi cha pili. Ni uthibitisho tosha kuwa Hersi kuvurunda usajili msimu huu
  7. vibertz

    JamiiForums Tanzania Njombe: Huyu kijana bila uoga azungumzia kuhusu haki, mauaji ya raia na uminywaji wa demokrasia mbele ya RC Njombe Anthony Mtaka

    Jamaa ana Akili + busara + kujiamini+ upeo + imani Vyote hivyo anavyo kwa hali ya juu sana. Ana sifa zote za kuwa kiongozi
  8. vibertz

    JamiiForums Tanzania Samia na mapokezi kazini

    Yatakukuta tu, uzuri ni kwamba waliofanya mauaji hawakuangalia huyu ni chawa au sio chawa, huyu kada wa CCM ama sio kada wa CCM, bali walifyatua risasi kwa yeyote yule wanayemuona mbele yao. Ndio maana haiwezi kushangaza kusikia mtangazi wa Clouds, ama shekh Sharif ambaye alipiga dua zito na...
  9. vibertz

    JamiiForums Tanzania Samia na mapokezi kazini

    Waliopigwa risasi majumbani mwao, na wale vijana waliokuwa wanaangalia mechi ya Arsenal kibanda cha mpira na kupigwa risasi je walichoma miundo mbinu ipi? - 💔Hatuwajui wote kwa majina, lakini tunawajua kwa uzito wa kilichotokea. Amani iwe juu yao.🙏
  10. vibertz

    JamiiForums Tanzania FT Yanga SC 2- 0 Mtibwa Sugar | NBC Premier League | KMC Complex | 28.10.2025 | Saa 10:00 Jioni

    Angalau baada ya Folz kuondoka, kuna mabadiliko tumeyaona kwa wachezaji na uchezaji wa timu. Ila Dube bado ni janga katika usahihi wa kutumia nafasi. Pengine walimu wapya wapo wanaweza kumsaidia akakaa sawa.
  11. vibertz

    JamiiForums Tanzania FT Yanga SC 2- 0 Mtibwa Sugar | NBC Premier League | KMC Complex | 28.10.2025 | Saa 10:00 Jioni

    Ana dis hadi visivyo muhusu.
  12. vibertz

    JamiiForums Tanzania FT: Simba Sc 0 - 0 Nsingizini hotspurs l CAF CL l second preliminary round l 2nd Leg l Benjamin Mkapa Stadium l 26-10-2025 l 16:00pm.

    Ubovu wa mechi umetokana na nini? Mpinzani ni mbovu? Au Simba inacheza mpira mbovu? Elezea kidogo, maana wengine hatujapata bahati ya kuangalia mechi tupo kwenye usafiri.
  13. vibertz

    JamiiForums Tanzania Je, kuna dawa ya kuozesha visiki vya miti?

    Tupe mrejesho
  14. vibertz

    JamiiForums Tanzania Ali Kamwe: Kiingilio bure isipokuwa VIP A na VIP B

    Kesho ni Jumatano na hakuna dalili ya kocha mkuu, inamaana mpaka sasa mategemeo ya kuipindua meza ipo kwa kocha Mabedi. Ndio mechi yake ya kwanza kwa Yanga na kibarua cha kuifanya Yanga ifuzu makundi kwa kulipa deni na ziada juu + clean sheet.
  15. vibertz

    JamiiForums Tanzania Miloud Hamdi atemwa Ismaly, Yanga ndio nafasi pekee ya kumrudisha ndio hii

    Miloud alituliza mambo kwa muda mfupi sana, Nabi ndio aina ya makocha wale wale wa kutaka kupewa muda. Miloud ni kocha wa matokeo zaidi
Back
Top Bottom