Yatakukuta tu, uzuri ni kwamba waliofanya mauaji hawakuangalia huyu ni chawa au sio chawa, huyu kada wa CCM ama sio kada wa CCM, bali walifyatua risasi kwa yeyote yule wanayemuona mbele yao. Ndio maana haiwezi kushangaza kusikia mtangazi wa Clouds, ama shekh Sharif ambaye alipiga dua zito na...