Recent content by vibertz

  1. vibertz

    Njombe: Huyu kijana bila uoga azungumzia kuhusu haki, mauaji ya raia na uminywaji wa demokrasia mbele ya RC Njombe Anthony Mtaka

    Jamaa ana Akili + busara + kujiamini+ upeo + imani Vyote hivyo anavyo kwa hali ya juu sana. Ana sifa zote za kuwa kiongozi
  2. vibertz

    Samia na mapokezi kazini

    Yatakukuta tu, uzuri ni kwamba waliofanya mauaji hawakuangalia huyu ni chawa au sio chawa, huyu kada wa CCM ama sio kada wa CCM, bali walifyatua risasi kwa yeyote yule wanayemuona mbele yao. Ndio maana haiwezi kushangaza kusikia mtangazi wa Clouds, ama shekh Sharif ambaye alipiga dua zito na...
  3. vibertz

    Samia na mapokezi kazini

    Waliopigwa risasi majumbani mwao, na wale vijana waliokuwa wanaangalia mechi ya Arsenal kibanda cha mpira na kupigwa risasi je walichoma miundo mbinu ipi? - 💔Hatuwajui wote kwa majina, lakini tunawajua kwa uzito wa kilichotokea. Amani iwe juu yao.🙏
  4. vibertz

    FT Yanga SC 2- 0 Mtibwa Sugar | NBC Premier League | KMC Complex | 28.10.2025 | Saa 10:00 Jioni

    Angalau baada ya Folz kuondoka, kuna mabadiliko tumeyaona kwa wachezaji na uchezaji wa timu. Ila Dube bado ni janga katika usahihi wa kutumia nafasi. Pengine walimu wapya wapo wanaweza kumsaidia akakaa sawa.
  5. vibertz

    FT: Simba Sc 0 - 0 Nsingizini hotspurs l CAF CL l second preliminary round l 2nd Leg l Benjamin Mkapa Stadium l 26-10-2025 l 16:00pm.

    Ubovu wa mechi umetokana na nini? Mpinzani ni mbovu? Au Simba inacheza mpira mbovu? Elezea kidogo, maana wengine hatujapata bahati ya kuangalia mechi tupo kwenye usafiri.
  6. vibertz

    Ali Kamwe: Kiingilio bure isipokuwa VIP A na VIP B

    Kesho ni Jumatano na hakuna dalili ya kocha mkuu, inamaana mpaka sasa mategemeo ya kuipindua meza ipo kwa kocha Mabedi. Ndio mechi yake ya kwanza kwa Yanga na kibarua cha kuifanya Yanga ifuzu makundi kwa kulipa deni na ziada juu + clean sheet.
  7. vibertz

    Miloud Hamdi atemwa Ismaly, Yanga ndio nafasi pekee ya kumrudisha ndio hii

    Miloud alituliza mambo kwa muda mfupi sana, Nabi ndio aina ya makocha wale wale wa kutaka kupewa muda. Miloud ni kocha wa matokeo zaidi
  8. vibertz

    Miloud Hamdi atemwa Ismaly, Yanga ndio nafasi pekee ya kumrudisha ndio hii

    Kwasasa hawana mkuu, fanya utafiti wako vizuri
  9. vibertz

    Miloud Hamdi atemwa Ismaly, Yanga ndio nafasi pekee ya kumrudisha ndio hii

    Mbona hujamalizia na Folz minuno kwenye list? Kuhitaji kocha Gamondi au Miloud ni kama dharura ya kuokoa nyumba inayoungua moto. Kocha mpya ambaye ni mgeni atahitaji muda kuandaa timu na kuwajua wachezaji wake. Lakini wakija hao wawili hawatohitaji muda bali kuelekeza mambo machache ya kimbinu...
  10. vibertz

    Miloud Hamdi atemwa Ismaly, Yanga ndio nafasi pekee ya kumrudisha ndio hii

    Kwasasa ni kupambana tu tufuzu hatua ya makundi, itakuwa aibu sana kama ikitokea Yanga pekee ndio imeshindwa kuingia makundi kwa Tanzania.
  11. vibertz

    Miloud Hamdi atemwa Ismaly, Yanga ndio nafasi pekee ya kumrudisha ndio hii

    Mkuu pamoja na video ya wakala wa Miloud bado umegoma kuamini kama viongozi wamezingua?
  12. vibertz

    Miloud Hamdi atemwa Ismaly, Yanga ndio nafasi pekee ya kumrudisha ndio hii

    Nimebidi nijiridhishe katika hili kwanza, Ni kweli kama walivyosema wadau huko juu, viongozi wa Yanga ndio walimfungia vioo Miloud. https://www.instagram.com/reel/DLozQG1MTzG/?hl=en
  13. vibertz

    Miloud Hamdi atemwa Ismaly, Yanga ndio nafasi pekee ya kumrudisha ndio hii

    Nimebidi nijiridhishe katika hili kwanza, Ni kweli kama walivyosema wadau huko juu, viongozi wa Yanga ndio walimfungia vioo Miloud. https://www.instagram.com/reel/DLozQG1MTzG/?hl=en
Back
Top Bottom