Naomba tumalize ubishi kwani sina ninachokificha ,bei ni kama ifuatavyo
1. Set ya camera 4 yenye hard disk ya 1TB, dvr Port 4,cable 100M,power supply pamoja na gharama za ufundi bei yake ni sh. 800,000/=
2. Set ya camera 8 yenye hard disk ya 2TB ,dvr port 8,cable 200M, power supply pamoja...
Naona kuna watu wameamua kunichafua makusudi maana hakuna sehemu nimetaja bei hizo nimewaambia wanionyeshe sehemu niliyotaja hiyo bei hawaonyeshi sasa sijui lengo lao nini
System ya camera inahusisha vifaa vingi kama dvr,hard disk,cable,power supply, router na bnc ili ikamilike siyo kama biashara TV au nguo kwamba bei yake inajulikana sababu inajitegemea hivyo idadi ya camera na mahitaji ya mteja ndo yanafanya bei ziwe tofauti mfano wewe ukawa unhitaji camera 2...
Karibu tukufungie cctv camera leo kwa ubora wa hali ya juu na kwa gharama nafuu.
Huduma zetu ni za uhakika na tunazingatia mahitaji ya mteja.
-Tunazo camera nzuri zinazoonyesha picha nzuri 24/7
Tunazo brand maarufu za Dahua na HIk Vision
Tunatoa mafunzo bure kwa mteja jinsi ya kutumia na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.