napata tabu sana na watu wanaotanguliza chama na kudhani kila mtazamo wa chama chake ndio sahihi,tujaribu kurejea kwenye takwimu tujue wenye vyama kama hata wanafika theluthi ya wananchi wote,,hivyo tutambue hakuna mwenye dhamana ya kutuwakilisha tusio na vyama.Kama maoni yetu kupitia tume...
nilishangaa sana kuona rais anadoubt mbunge kukosekana miezi 6 kwa ugonjwa ni kukosa huruma na hajatoa suluhisho..Wakati mwandosya kaumwa kdg tu kapewa wizara inayoelea,,na anajua kuwa sheria za utumiahi wa umma zinasema mtumishi akiwa na matatizo ya ugonjwa yanayomfanya kushindwa kutekeleza...
Hii ndo wanaitaga chama kushika hatamu..Yan rais anashindwa kujitofautisha na m/kiti wa ccm..Dah very embarassing alaf anatuaminisha mbunge kuwa waziri anaweza kuwa mtu asiyependelea jimbo lake..Ngumu sana
hoja hiyo kwa sasa haina mashiko..Security gani??makanisa yanachomwa..Watu wanauawa..Ubalozi wa US umelipuliwa na mengi tu..Usalama ni commitment ya serikali bila kujali mmeungana au lah..
mkurugenzi ndiye muajiri na ndiye mamlaka ya nidhamu ktk halmashauri..hivyo anao uwezo ingawaje sheria inamtaka kufuata taratibu zilizopo ikiwemo kumpa mtumishi barua ya kosa na kumtaka ajieleze kwa maandishi kwann asiadhibiwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.