Stories of Change 2023
SoC03 Uchambuzi juu ya uwajibikaji katika
TANZANIA INAWEZA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI
Mabadiliko ya tabia nchi ni tatizo linalokuna vichwa vya mabara yote duniani.Mabadiliko ya tabia nchi yamesababisha madhara makubwa katika mazingira. Miezi michache...
Tarehe tano mwezi wa sita kila mwaka ni siku ambayo dunia nzima inaazimisha siku ya mazingira. Mwaka huu 2023, siku hii imebeba kauli mbiu “ Pinga uchafuzi wa plastiki”.Nyaraka hii itaangazia athari za plastiki katika mazingira na afya, pamoja na uwajibikaji kwa wananchi,serikali,mashirika...
mwanamke anaejitambua haoneshi dharau kwa mwanaume anaechakarika na kujishughulisha hata kama anapata 1000 kwa siku...tatizo ni pale huyo mwanaume anapogundulika ana mchepuko...hiyo ndoa utaiona chungu na hutaamini huyo ndio ulioa...
Ni ukweli usiopingika kuwa tokea mapinduzi ya kumkomboa mwanamke kiuchumi, kisiasa na kijamii wanawake wengi wamekuwa na nguvu sana katika nyanja zote za siasa, uchumi na jamii na kuwaacha wanaume nyuma.
Tukirudi miaka ya 90 kurudi nyuma kulikuwa na dhana kwa wanawake wengi kuwa wao hawawezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.