Recent content by veti

  1. V

    Mke wangu kaniona nikiwa namshika Muhudumu wa Baa, nasuluisha vipi hii kesi?

    Mwambie zilikuwa ni pombe tu si akili yako.
  2. V

    Naomba kutolewa jongotongo juu ya huu ujauzito

    Ikiwa mimba imetunga huo mwezi wa pili na mwezi wa kumi amejifungua, kama ni yako labda amezaa kabla ya wakati yaaani premature
  3. V

    Nina mashaka na ujauzito wa mpenzi wangu

    Akapige ultrasound nyengine halafu ulinganishe hiyo ya mwanzo na ya pili, hasa hasa mpleke kwa radiographer mzoefu. kisha linganisha mkuu. Mara nyingi mimba ya wiki tatu haionekani kwa ultasound laba labda report itasema kuna dalili za mimba changa i.e features are suggestive of early...
  4. V

    Hospitali zote zaagizwa zihudumie wagonjwa ndani ya masaa matatu, je hospitali zetu zimejengewa uwezo huu?

    hii hapana kaka, kuna emergency case, urgent case, na kadhalika. lazima wagonjwa wafanyie triage kisha ndio tutajua yupi anahitaji huduma mwanzo zaidi kwa kadri ya case yake.
  5. V

    Nakuachaje sasa? Si kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi

    unakumbuka ndom mkuu, lishangazi hiloo ohooo
  6. V

    Natafuta Mpenzi

    sasa kwa akili za kutafuta manzi hapa jamvini, utakuja kuweza kuhandle manzi kweli kaka
  7. V

    Natafuta Mpenzi

    maliza kwanza masomo kisha uingie kwenye mapenzi la si hivyo utakula supplementary za kutosha hapo masomoni kwako.
  8. V

    Rais Samia Kuzindua Miradi Nane Kizimkazi Day"

    kweli mkuu, na hili kuna watu watamkejeli kana kwamba yeye si binadam.
  9. V

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    huenda ikawa ni mtego kaka, wanasubiriwa wajae kwenye 18
  10. V

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Halafu Putin yupo zake Azerbaijan na kwake kunawaka moto
  11. V

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Nato imeingia rasmi na majeshi yao, Ukranian nguvu hiyi wanaitoa wapi
Back
Top Bottom