Jaribu kutoa burner, then chukua kijiko au chochote ubonyeze ile round (gorori). Gesi itatoka kidogo na itasaidia kupush uchafu au mchanga. Weka tena burner
Maana mchanga au uchafu ukiwepo panakua loose kwaio gesi inaweza kupitia hapo.
Taikoni wa fasihi unashindwa kutofautisha kati ya Masikini na Mpumbavu,
Tittle ilibidi iwe
"Usiwasaidie wapumbavu, acha wafe"
Maana kunawatu wamezaliwa kwenye familia masikini na nimasikini ila sio wapumbavu, ila kuna watu ni matajiri ila ni wapumbafu.
Kwaio kwenye masikini weka mpumbavu...
BabMorgan rudi uyamalize na ndugu zako.
Hii true story, kuna brother wangu pia alikosana na sisi sote hadi mother. Akaanza kuzunguka kama wewe, akapoteza hela zote kwenye safari zake. Ila mwishoni amesharudi kundini na ameanza mishe upya. Kwaio maliza ugomvi na ndugu zako au upoteze hela zako...
Kweli maana huyu Dr Tixon Nzunda ndio alitujibu, na amecomfirm twende intern bila hela ya kujikimu na ndie katibu wa Wizara husika.
Sijui hanadhani tutaishije intern mwaka mzima bila hela kujikimu.
Hata mkituita wakulima ni sawa tu, nyie kwenye Wizara yenu si mna watu wakuwatetea.
Sisi wenzetu Veterinarian tulio wapa vyeo ndio wanatukandamiza. Kwaio sioni ajabu kutuita jina lolote. Maana hatuna wa kututetea.
Bora wafanye hivi kidogo tutasaidika.
Ila sasa internship yenyewe wameweka vipengele vingi ambavyo vinatubana sana sisi tusio kua na ramani yoyote ( jobless) kutumia pesa nyingi ambazo hatuna.
Ni vyema wapitie upya kanuni za intern, maana tunaoteseka ni sisi masikini.
Wala hatujisikii sana ndugu 😂😂😂😂.
Sema hayo mambo omba yasikutokee yana umiza sana (more than pain). Nahisi labda wahusika uko wizarani ndio wanajisikia sana.
Ila huku mtaani ( on the ground) hali ni tofauti kabisa. Tuna maisha magumu sana, mwaka mzima upo nyumbani na ujasajiliwa.
Na wanataka...
Pole ndugu kwa kuto kuchagiliwa, na hongera sana kwa sehemu uliopo sasa.
Kufanya intern mwaka mzima bila malipo, sio kazi rahisi. Wizara lazima ione namna ya kutusaidia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.