Asante kwa ushauri lakini asilimia 90 ya wanao preach hayo mambo ni watu ambao mahusiano kwao huwa ni magumu sana na hayo wanayoshauri hawalifanyii kazi hata moja kama ni mwanamke utakuta keshaolewa karibia mara kumi huko au hata ndoa yenyewe hana...... Maisha ya ndoa au mapenzi huitaji...
Haya mambo sio wanawake tu hata wanaume pia wapo tusihukumu upande mmoja..... Na huwezi jua huyo dada aliona vitu gani kwa huyo mwanaume ikabidi tu achukue maamuzi, wanawake wengi huwa hatuwezi kuongea hata tukiona hapa no future huwa tunafanya maamuzi kimya kimya tofauti na nyinyi huwa...
Nikwambie kitu mama sio kila tatizo ulilonalo linahitaji sijui ushauri wa kisaikolojia au ukaombewe mambo mengine unaweza yamaliza wewe mwenyewe hadi ukashangaa hata hao unaowafuata wana matatizo yao na hawajui watayamaliza vipi
Nnachokiona kwako hujapata tu mtu alie sahihi kwako na ndio maana...
Hiyo hali wengi tunapitia na kinachotokea inakuwa ni kutojiamini na kuhisi huyu anaweza kuniumiza kama yule ya mwanzo hata umpate mtu akakupenda vipi bado utahisi kuna vitu anakosea while, unajikuta unatamani umpate mwanaume ambae yupo kama malaika asiwe na mapungufu hata kidogo kitu ambacho...
Hayo maganda ya cabbage asichemse ni sufuria tu ikishapata moto anayaweka na yenyewe na anakua anayageuza geuza ataona kama yanatoa mvuke hapo yatakua tayari ila yasiungue
Mwambie achemshe maji achanganye na tangawizi ila Ile mbichi sio ya unga hayo maji anaweza hifadhi kwenye chupa ya chai
Matumizi :asubuhi kabla hajala chochote anywe kikombe kimoja cha hayo maji ila aweke limao vijiko viwili na asali kijiko kimoja afanye hivyo hivyo mchana na jioni
Njia...
Pole sana ila hiyo hali uliyonayo inaweza isha kabisa sababu tayari unaonekana una nia na umeshakiri kosa hata Mungu atakua upande na unaweza ukashangaa ukapata innocent wife kuliko hata wa wale ambao hawana historia kama yako
Kuna watu walikua wachawi, majambazi ila walitubu na leo wengine...
Aisee nikuite tu twin yani huna tofauti na mimi hata kidogo kile nnachokiona ni sawa then mtu anishauri tofauti hua napata shida kumuelewa ila lazima kile nnachoamini nikifanyie kazi na bahati nzuri mimi ni mpole sana ila sina hata chambe ya uoga jambo watu wanaweza liogopa ila mimi ndio kwanza...
Mmmh huu ugonjwa tupo wengi sana sometimes sijui upole sana nao unachangia au Ile kupenda kukaa mwenyewe
Yani mimi nikikwazika nachozi tu likinitoka kitakachofuatia hapo Mungu ndio anajua na sikubali nishindwe ila unakuta baada ya mda naanza kujutia kwanini nimefanya hivi hua sipendi sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.