Recent content by venosa kwayu

  1. V

    Open University wanadanganya Umma au?

    Yani niki ingia kwenye hiyo link haifunguki
  2. V

    Open University wanadanganya Umma au?

    Mbona nikiingia haifungua?
  3. V

    Open University wanadanganya Umma au?

    Jaman zamchana samahanin sana naomba mnisaidie link ya TCU guid book kama wamesha toa.
  4. V

    Sifa za kujiunga na chuo kikuu 2016

    Asanteee kwaushauri wakoo
  5. V

    Sifa za kujiunga na chuo kikuu 2016

    Habarin jaman mim nina shida naomba ushauri nimemaliza kidato cha sita mwaka huu na nimefaulu kwa divition 2 ya point 10 na ningependa kusoma facat ya education niwe mwalimu wa kiswahili na geograph lakin geograph nina D na ukirud nyuma form 4 pia nilipata geograph D sasa itafaa kweli?
Back
Top Bottom