M Mwemary JF-Expert Member May 25, 2016 330 340 Jul 19, 2016 #1 Naomba msaada wa tcu guide book y a 2016/17 kwani kesho aplication zinaanza
goodhearted JF-Expert Member Feb 15, 2015 943 1,110 Jul 19, 2016 #3 Hivi hawaTCU kweli kesho watafungua mlango wa application??? Maana naona masaa yanakatika tu bila hata hiyo guide book kutolewa. sasa cjui hizo applications zitafanywaje bila kuwa na mwongozo. Mwenye majibu ya haya maswali tafadhari!!
Hivi hawaTCU kweli kesho watafungua mlango wa application??? Maana naona masaa yanakatika tu bila hata hiyo guide book kutolewa. sasa cjui hizo applications zitafanywaje bila kuwa na mwongozo. Mwenye majibu ya haya maswali tafadhari!!
Suip JF-Expert Member Sep 21, 2010 1,315 761 Jul 19, 2016 #6 Usiwe na haraka mtapewa muda kutosha kuomba yawezekana kuanzia 20/7 hadi 20/8 au 31/8, Cha muhimu uwe na sifa za kujiunga.
Usiwe na haraka mtapewa muda kutosha kuomba yawezekana kuanzia 20/7 hadi 20/8 au 31/8, Cha muhimu uwe na sifa za kujiunga.
M Mjep JF-Expert Member Oct 28, 2014 11,524 34,286 Jul 19, 2016 #7 Hilo wameshalitolea maelezo wewe ndiyo uko nyuma kwa taarifa sidhani kama linahitaji kuanzisha thread humu
Hilo wameshalitolea maelezo wewe ndiyo uko nyuma kwa taarifa sidhani kama linahitaji kuanzisha thread humu
Rajab_Omar JF-Expert Member May 15, 2016 16,457 27,104 Jul 19, 2016 #9 Subiri mpaka watoe wenyewe Hiyo GuideBook usiwe na papara.
M Mwemary JF-Expert Member May 25, 2016 330 340 Jul 19, 2016 Thread starter #10 Nawaombea wenzangu kwani mm nina GPA 2.3 ivyo nilikuwa naulizia tuu nione masharti yao kama wameachia
Nawaombea wenzangu kwani mm nina GPA 2.3 ivyo nilikuwa naulizia tuu nione masharti yao kama wameachia