Recent content by Venne

  1. V

    First lady unapaswa kuvaa na kukaa kama FIRST LADY. Au siyo????

    Mke wa Lowasa ni msomi na hujamuona anavyopendeza na shepu ya nguo anayo! Si mwanamke anayependa kujionyesha!Atakapokuwa first lady mtaamini ninachosema!
  2. V

    Dr. Magufuli aiteka Rombo,afanya mkutano Tarakea.Wananchi wasema CCM yatosha!

    Warombo komaeni ahadi yenu palepale hekuna kurudi nyuma
  3. V

    Dr. Slaa: Magufuli haogopi kupoteza kura kwa kukemea ufisadi na kusema atawafunga wala rushwa!

    Hajanena bado! Hana jipya! Akili ni nywele kila mtu ana zake!
  4. V

    John Mnyika awaaga wana Kibamba

    Samson alidanganywa na Delila kasema siri zote
  5. V

    VIDEO: Kafulila azomewa na kushushwa jukwaani, Kigoma

    Wakigoma mkimwacha Kafulila mtashangaza sana.! Huyo ni mtetezi wa wananchi na si Kigoma tu ni nchi nzima Acheni ushabiki wa kuchochewa
  6. V

    Sakata la ESCROW askofu Kilaini na Nzigirwa wazungumzia tuhuma

    Lowasa ndiye alimpa kilaini pesa kweli!
  7. V

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Slaa ungeongelea kashfa nyingine escrow nk tungekuelewa lkn why Richmond tu? Una lengo gani kama si kutudhawishi kuwa tz ufisadi ni huo tu? Akili ni nywele kila mtu ana zake!
  8. V

    Matatizo ya Lowassa ni madogo sana Ukilinganisha na matatizo ya CCM

    Lowasaaaaaaaa Ukawaaaaa hata Slaa apande ashuke na wivu wake bado mabadiliko tunahitaji! Watanzania hawasikii lolote pole Slaa imekula kwako!
Back
Top Bottom