kujazajaza chuo kwa misingi ya kujazia tu vifike vitano ndo sasa kunakuja kuwaponza watu uwezekano upo lakini ni kwa kiasi kidogo sana maana kupata transfer ya chuo mpaka upate nafasi ktk chuo anachotaka kuhamia tembelea tovuti ya TCU tcu.go.tz chukua mawasiliano, wasiliana nao
kama umechaguliwa Mzumbe University, hii ni nafasi ya kukutana na wenzio katika group la WhatsApp. Admin anapatikana kwa namba 0712586027, tutakuwa pamoja chuoni hapo mi nikiwa kaka yenu wa mwaka wa pili kielimu ama unaweza kujoin kwa link hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.