Nakuona Mzee uliyechanganywa na Imani potofu na udanganyifu mwing,kwamba wanaoibiwa hawana Mungu,daah hizi din badala ya kutufanya huru zimetufanya watumwa ase Kaz ipooo
N mifumo ya kibinadamu tu ya kifisad ,toka gaza had Ukraine ,cha msing kuwa na mtazamo chany fanya ambacho kinafurahisha akili yakoo,endelea kutafuta fursa za Kaz ambazo unaweza pataa,Mungu habagui bro n mifumo tu ya kibinadam ya kifisad inayofanya watu wanateseka ,hujalogwa Wala nin,kuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.