Cdm kama chama Pelee mbadala kwa CCM, kuna janjanja ya hawa jamaa kujitengenezea ka kikundi ka upinzani ndani yao.
.
.
.
Mfano: Uwepo wa kambi ya upinzani ya akina, Nape, Bashe na Musukuma.
Hii janja ya nyani kula mabua....
:flypig::flypig:
siasa za maji taka ......... ni bora kuwa mgombea binafsiiiii
hivi vyama uchwaraaaaaaaa.............
waongoooooooooo..........
bora kuachanaaaaaaa na ccm.......
si cuf waongoooooooo.........
si ukawaaa waoooongoooooooooooooooooooooooooo....
kutokana na mchezo wa siasa ulivyo kwa sasa nchini mwetu tuelewe na tukubali kwa hakika siasa haina adui wa
kudumu.
swala la msingi ni kufuta mawazo ya kizamani kwamba malengo, maono au ndoto zako zitatimizika ktk chama chako au mazingira ulipo.
jambo la msingi ni kusoma alama za nyakati na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.