Kwa mm naona mwanamke anakosea mumeo kaenda kutafuta alafu uwambie unachoka kufungua mlango kwanza unapata wapi ujasili wakulala bila kumuona mumewako kama ameludi salama na anapo pita kumwagilia moyo sio jambo baya sema kunashida nyingine apo ndani yake
Kwa mm naona mwanamke anakosea mumeo kaenda kutafuta alafu uwambie unachoka kufungua mlango kwanza unapata wapi ujasili wakulala bila kumuona mumewako kama ameludi salama sema kunashida nyingine apo ndani yake
Asant mkuu, lakini pia tunajua mtu akipata D moja awezi pata cheti lakini akirisiti na akapata D mbili au C moja anapata cheti naicho cheti kitaonesha ana masomo mawili tu alio fanya je icho cheti kitakua na uwezo wakutumia kwenye ajila.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.