Recent content by Vamigo

  1. Vamigo

    JamiiForums Tanzania Je, hizi ni chale za kichawi au mikwaruzo?

    Nimekupata vizuri mkuu
  2. Vamigo

    JamiiForums Tanzania Je, hizi ni chale za kichawi au mikwaruzo?

    Pamoja kaka maana lawama ni nyingi hapa home nikahisi pengine wageni wamekuja na michezo yao.
  3. Vamigo

    JamiiForums Tanzania Je, hizi ni chale za kichawi au mikwaruzo?

    Popo bawa si hua ni Kwa wanawake mkuu, mie mwanaume anakujaje
  4. Vamigo

    JamiiForums Tanzania Je, hizi ni chale za kichawi au mikwaruzo?

    Oya mie mwanaume Pamoja kaka nitajitahidi... Nawaza hawa wageni walio Kuja huwenda Kati yako yupo mwenye michezo hiyo
  5. Vamigo

    JamiiForums Tanzania Je, hizi ni chale za kichawi au mikwaruzo?

    Oya mie mwanaume.
  6. Vamigo

    JamiiForums Tanzania Je, hizi ni chale za kichawi au mikwaruzo?

    Hapana ni mgongoni kaka
  7. Vamigo

    JamiiForums Tanzania Je, hizi ni chale za kichawi au mikwaruzo?

    Camera tu mkuu
  8. Vamigo

    JamiiForums Tanzania Je, hizi ni chale za kichawi au mikwaruzo?

    Hapo ni mgongoni upande wa bega la kulia mkuu
  9. Vamigo

    JamiiForums Tanzania Je, hizi ni chale za kichawi au mikwaruzo?

    Kwamba alini ng'ata au walinikwaruza na kucha.?
  10. Vamigo

    JamiiForums Tanzania Je, hizi ni chale za kichawi au mikwaruzo?

    Wakuu kwema, naishi nyumban ya kupanga mm na familia yangu, miezi 6 nyuma tumeupokea wageni wa4 wapya hapa tunapo ishi. Baada ya ugeni huo nikaanza kusikia jirani analalamika kuwepo Kwa matukio ya kishirikina mala mtu kusikika anatembea juu ya bati, mwingine akadai alikuta kachanjwa chale...
  11. Vamigo

    JamiiForums Tanzania Maswali manne ya kujiuliza ili uweze kuongeza ustawi wa biashara yako

    Nikisha jiuliza haya maswali nani ataniona majibu yake.?
  12. Vamigo

    JamiiForums Tanzania Kama una ndugu yako anashikiliwa kituo cha Polisi kwa vurugu za Uchaguzi, uza chochote ukamtoe kwa gharama yoyote!

    We jamaa unaonekana kama sio dogo WA miaka 20 basi utakua na miaka 38+
  13. Vamigo

    JamiiForums Tanzania Gen z wanasema tarehe 9 December wanakuja na silaha za moto

    Wazungumze na nani kaka wakati viongozi wameziba masikio. Siungi mkono gen z kutumia siraha za moto
  14. Vamigo

    JamiiForums Tanzania Chagua nchi Moja ya kufanya kazi kati ya Misri, Israel,South Africa, Brazil au Indonesia

    Kwa sababu za kiusalama nitachagua SA
Back
Top Bottom