Accroding to GSM, kiwanja amenunua 2013. Viwanja vya maeneo hayo vimetolewa kwenye miaka ya 70, hiyo ina maana GSM alinunua kwa mwenye kiwanja cha awali. Inabidi tujue kilikuwa cha nani kabla. Hii kesi ni ngumu GSM anaweza kuwa ana title kwa jina lake lakini ni mara ngapi mtu ukanunua kiwanja...
Na picha ya Kenyatta ingekuwa moja kama ilivyo kwa mama Suluhu tungeelewa zaidi. Kwa sasa inaonekana hakuna uhusiano kati ya picha ya Kenyatta na hao wazungu. Sidhani kama kulikuwa na ugumu wowote kupiga picha moja.
Wanaume ndio wana vigezo vya kuteuliwa. SHAME
Sasa kama ulisoma shule na wanawake wasiojiongeza ndio u conclude kuwa wanawake wote hawajiongezi mpaka wasukumwe na mijeledi. Yaani nimekushangaa sana maana hapo umemtukana mama yako moja kwa moja. Yaani una tabia ya Makonda poor brought up. Huna...
Mleta mada alitakiwa aseme kuwa Prof. Mwandosya anamjibu Malisa aliyesema kwamba Profesa Mwandosya alipata cheti cha ufundi halafu akaenda Chuo Kikuu cha Aston Uingereza, akijaribu kuhalalisha watoto wa Form IV kwenda UDOM moja kwa moja. Nadhani Prof. ameisikia ndio anatoa ufafanuzi sio kwamba...
There is no contradiction at all, if there is one just point it out. Wewe umesema Rais anawaona wajinga, nami nime confirm ndiyo maana mnataka aendeshe nchi mtakavyo nyinyi. Bahati mbaya hawezi kufanya hivyo
Ni kweli Magufuli kawaona wajinga ndio maana amekaa kimya. Anajua fika Kitwanga hahusiki asilimia 100% kwenye sakata la Lugumi ndio maana wala hakujigusa. Sakata la Lugumi limetokea mwaka 2011 yeye hakuwa waziri wa mambo ya ndani. Ni kweli Kitwanga, ana ubia Infosys lakini toka aingie kwenye...
Watu hawataki ukweli ndio maana wana hukumu na wameshasema ukweli ndio huu kwahio hata ukweli ukisemwa watasema wamehonga. Siku zote ukweli utajulikana tu sooner or later. Kwa kweli watanzania wengi ni wa kuhurumia, kushabikia vitu wasivyovijua na shida za watu ni furaha yao. Hivi kwa hali ya...
Hilo ndio tatizo ukishaamua unachojiaminisha ndio hicho hata ukiambiwa ukweli. Mlichoamka nini zaidi mnaendelea kulala tu. Mimi hata siku moja siwezi kushabikia habari ninayoipata bila kuifanyia utafiti. Kosa la kwanza la mwandishi, mkurugenzi wa NIDA sio owner wa Infosyis. Sasa kama watu...
Nakuunga mkono kabisa. Yaani inasikitisha sana kwa sasa, watu utu umewatoka kabisa, tabia gani ya kushabikia shida ya mtu. Mungu awasamehe na kuwasaidia wote wanaofurahia
Nimesoma comments za watu wengi humu ndani nimegundua wana conclude na kuhukumu kabla hata ya kupata upande wa pili wa habari. Watanzania sasa hivi tumekuwa watu wa ajabu tunapenda na kufurahia watu wakipata shida, wakifukuzwa kazi, wakipelekwa mahakamani na kupata mateso. Sijui hata tunaelekea...
Posts ni nyingi sijaweza kuzisoma zote lakini labda nitoe mtazamo wangu.
Lazima tuelewe hawa wanaolipwa hii mishahara kuacha labda gavana wa benki kuu, wengi wao sio watumishi wa serikali. Rais mstaafu JK kwa kuona 'hakuna watumishi bora' serikalini wanaoweza kuendesha taasisi hizi aliwatafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.